Kijiwe cha watoto wa Jangwani

Gamondi

Mgeni
May 27, 2024
18
14
5
Nani Kati ya hawa anayestahili kuvaa kitambaa cha unahodha katika YANGA ijayo;

🔹 Djigui Diarra
🔹 Dickson Job
🔹 Khalid Aucho
🔹 Pacome Zouzoua
🔹 Ibrahim Bacca

Vigezo vya kuzingatiwa;

- Uwezo wake uwanjani.
- Ushawishi na motisha uwanjani na hata kwa mashabiki.
- Kujiamini uwanjani.
- Morali ya Upambanaji.
- Mwalimu wa wengine uwanjani kwa vitendo na maneno.
- Nidhamu.
- Mtetezi wa Team pale inapotokea imeonewa.
- Kujitoa kwa ajili ya Timu.

Je,KURA yako utaitupa kwa yupi Kati ya hao watano(5)?
 

Rosah

Mpiga Chabo
Jun 3, 2024
1
1
0
Nani Kati ya hawa anayestahili kuvaa kitambaa cha unahodha katika YANGA ijayo;

🔹 Djigui Diarra
🔹 Dickson Job
🔹 Khalid Aucho
🔹 Pacome Zouzoua
🔹 Ibrahim Bacca

Vigezo vya kuzingatiwa;

- Uwezo wake uwanjani.
- Ushawishi na motisha uwanjani na hata kwa mashabiki.
- Kujiamini uwanjani.
- Morali ya Upambanaji.
- Mwalimu wa wengine uwanjani kwa vitendo na maneno.
- Nidhamu.
- Mtetezi wa Team pale inapotokea imeonewa.
- Kujitoa kwa ajili ya Timu.

Je,KURA yako utaitupa kwa yupi Kati ya hao watano(5)?
Djigui diarra
 
  • Like
Reactions: goodluck John Temba

Seleman Seleman

Mpiga Chabo
May 30, 2024
1
0
0
Nani Kati ya hawa anayestahili kuvaa kitambaa cha unahodha katika YANGA ijayo;

🔹 Djigui Diarra
🔹 Dickson Job
🔹 Khalid Aucho
🔹 Pacome Zouzoua
🔹 Ibrahim Bacca

Vigezo vya kuzingatiwa;

- Uwezo wake uwanjani.
- Ushawishi na motisha uwanjani na hata kwa mashabiki.
- Kujiamini uwanjani.
- Morali ya Upambanaji.
- Mwalimu wa wengine uwanjani kwa vitendo na maneno.
- Nidhamu.
- Mtetezi wa Team pale inapotokea imeonewa.
- Kujitoa kwa ajili ya Timu.

Je,KURA yako utaitupa kwa yupi Kati ya hao watano(5)?
Aucho
 

Chester boy

Mgeni
Jun 3, 2024
3
3
5
Djigui Diarra ana kila aina ya sifa zilizotajwa hapo juu.. licha ya hivyo djigui Diarra amekuwa kama kocha ndani ya pitch yeye ndo anawaona wote na yeye ndo anamiliki build up zote kuanzia nyuma na anajua kuipanga Safu yake... Ana elements za uongozi
 
May 2, 2024
7
2
5
Nani Kati ya hawa anayestahili kuvaa kitambaa cha unahodha katika YANGA ijayo;

🔹 Djigui Diarra
🔹 Dickson Job
🔹 Khalid Aucho
🔹 Pacome Zouzoua
🔹 Ibrahim Bacca

Vigezo vya kuzingatiwa;

- Uwezo wake uwanjani.
- Ushawishi na motisha uwanjani na hata kwa mashabiki.
- Kujiamini uwanjani.
- Morali ya Upambanaji.
- Mwalimu wa wengine uwanjani kwa vitendo na maneno.
- Nidhamu.
- Mtetezi wa Team pale inapotokea imeonewa.
- Kujitoa kwa ajili ya Timu.

Je,KURA yako utaitupa kwa yupi Kati ya hao watano(5)?
Aziz ki 🤢
 
  • Like
Reactions: Kijiweni
Jun 3, 2024
3
3
5
Mkude
Wachezaji wengi walipaswa kumchukua MKUDE kisha kulifanya darasa huru huyu kwani ni mchezaji wa pekee sana na sijawahi kuwaona wachezaji wa namna hii kwa kipindi kidogo, mwamba alisaini mwaka mmoja Yanga SC kutokea Simba SC.

Nungunungu kama wanavyomuita alikubali mkataba wa mwaka mmoja ndani ya Yanga SC wala kwake halikuwa jambo gumu hata kidogo, Jonas Mkude anasaini vipi mkataba wa mwaka mmoja huku akiwa ametokea kwenye timu ambayo status yake kubwa kama hii ya Yanga?
Ametumia akili sana
 
Jun 3, 2024
1
2
5
Nani Kati ya hawa anayestahili kuvaa kitambaa cha unahodha katika YANGA ijayo;

🔹 Djigui Diarra
🔹 Dickson Job
🔹 Khalid Aucho
🔹 Pacome Zouzoua
🔹 Ibrahim Bacca

Vigezo vya kuzingatiwa;

- Uwezo wake uwanjani.
- Ushawishi na motisha uwanjani na hata kwa mashabiki.
- Kujiamini uwanjani.
- Morali ya Upambanaji.
- Mwalimu wa wengine uwanjani kwa vitendo na maneno.
- Nidhamu.
- Mtetezi wa Team pale inapotokea imeonewa.
- Kujitoa kwa ajili ya Timu.

Je,KURA yako utaitupa kwa yupi Kati ya hao watano(5)?
Djigui Diarra