Kukatwa Alama Kisa Ushirikina Ligi Kuu Umeipokeaje?

May 27, 2024
14
7
5
Kwa msimu ujao Bodi ya Ligi Kuu imepanga kuweka kanuni za kuzikata alama timu zitakazojihusisha na vitendo vya ushirikina. Nini maoni yako?
 

Kijiweni

Administrator
Staff member
Nov 7, 2022
281
396
25
Mtaa Unaongea
Unataka Kujifunza Jinsi Ya Kupost? Fata Hatua Hizi
Ingia kwenye Kijiwe unachokipenda kati ya hivyo hapo kama ni Cha Mikeka au Ligi Kuu kisha anzisha mjadala

Kama hujajua jinsi ya kupost fuata njia zifuatazo :

📌 Gusa Kijiwe Unachotaka Kuingia

📌Gusa Neno "POST THREAD"

📌Utaona "Thread Title" Maana Yake andika kichwa cha habari Cha Kile ambacho unataka kupost (Mfano Nini Kinaikwamisha Azam Kuwa Mabingwa Ligi Kuu Licha Ya Usajili Wanaofanya?)

📌Baada ya hapo Shuka chini pameandikwa "Message" basi andika fact zako pale na kila ambacho unatamani watu wasome (Yasiwe Matusi)

📌Maliza Kwa Kugusa neno POST THREAD utakua umemaliza
 
  • Like
Reactions: SamMachachali

Robbrygo JR

Mgeni
May 20, 2024
14
8
5
Ujue kuna ushirikina af kuna ushirikina ambao timu unazifanya hadharani. Kma timu itafanya matendo ya ushirikina hadharani n halali kukatwa points, kwa sababu wanaleta picha mbaya kweny maendleo ya ligi yetu. 🤓🤏
 
  • Like
Reactions: Kijiweni

Mhe.Laiz@

Mgeni
May 2, 2024
5
3
5
Sidhani kama ni vema kuwa na ligi ambayo Kuna teams zenye ushirikina mimi naona ni vema kabsa hiyo sheria ya kukatwa point kama team ikionyesha mambo ya ushirikina itaheshimisha soka letu la NBC
Hivyo naomba hii ipitishwe na kufanyiwa kazi accordingly ☺️ 😊
 
  • Like
Reactions: Kijiweni
May 28, 2024
1
1
5
Kutoka na kauli mbiu ya game play fair be positive I think kukatwa point kisa ichawi ni sawa japo uchunguzi wa kina unatakiwa ufanyike ndipo maamuzi kama hayo yafanyike
 
  • Like
Reactions: Kijiweni

Baba tonny

Mgeni
May 28, 2024
1
1
5
Kwa msimu ujao Bodi ya Ligi Kuu imepanga kuweka kanuni za kuzikata alama timu zitakazojihusisha na vitendo vya ushirikina. Nini maoni yako?
Kwa Hilo hapo itakuwa ngumu kidogo maana jambo la ushilikina ni la Giza kugundua itakuwa ni shda labda ushilikina wa kujionesha wazi hapo sawa lkn naona bado utata utakuwepo huwezi kugundua ushilikina Kama wewe sio mshilikina bado utata utakuwepo
 
  • Like
Reactions: Kijiweni

Simon Paul

Mgeni
May 7, 2024
14
12
5
Kama uchawi ungekua na nguvu Nigeria angechukua KOMBE la Dunia 😂 ni watu tu kuamini ushirikina na kupata hofu ndio inapelekea kupoteza matokeo😇
 
  • Like
Reactions: Kijiweni

Mhe.Laiz@

Mgeni
May 2, 2024
5
3
5
Kuna mtu anasema eti wachawi wataenda kula wapi😁😁😁😁 so shameful kuwa na ligi ya kichawi hii ni premium league cyo witch 🧙‍♂️ doctors league