Bongo mtu akisikia michezo kinachokuja akilini ni football
️ tu.
Hata kelele nyingi na uwekezaji uko kwenye football.
Na huko ni full mambo ya usimba na uyanga tu.
Jamani dunia imefunguka.
Michezo ni mingi sana saivi.
Kuna ndondi aka nakozi na Taekwondo mieleka Sarakasi michezo ya baiskeli kurusha tufe kisahani
kubeba vitu vizito
michezo ya majini
Golfukupanda miinukomichezo ya wanyama Basketball baseball handball ️ wale
Michezo ya baiskeli basketball michezo ya kuteleza
kukimbia mbio fupi na ndefu
kuruka juu na chini michezo ya mezani , kulenga shabaha, tenisi vinyoya, kriketi nk nk
Jamani michezo ipo mingi mingi sana sio football tu.
Tupeleke macho, talanta zetu na uwekezaji kwenye michezo hii mingine maana sio kila mtu anajua kucheza football.
Halafu uzuri jamii zetu nyingi tayari zina hii michezo kwa mfano ndugu zetu wamasai wao kiasili ni walenga shabaha sio ajabu wangeweza kutuletea medali kibao tu kama wangepelekewa hiyo michezo ya kulenga shabaha.
Hata kelele nyingi na uwekezaji uko kwenye football.
Na huko ni full mambo ya usimba na uyanga tu.
Jamani dunia imefunguka.
Michezo ni mingi sana saivi.
Kuna ndondi aka nakozi na Taekwondo mieleka Sarakasi michezo ya baiskeli kurusha tufe kisahani
kubeba vitu vizito
Golfukupanda miinukomichezo ya wanyama Basketball baseball handball ️ wale
Michezo ya baiskeli basketball michezo ya kuteleza
kukimbia mbio fupi na ndefu
Jamani michezo ipo mingi mingi sana sio football tu.
Tupeleke macho, talanta zetu na uwekezaji kwenye michezo hii mingine maana sio kila mtu anajua kucheza football.
Halafu uzuri jamii zetu nyingi tayari zina hii michezo kwa mfano ndugu zetu wamasai wao kiasili ni walenga shabaha sio ajabu wangeweza kutuletea medali kibao tu kama wangepelekewa hiyo michezo ya kulenga shabaha.