Ligi ya Mabingwa Afrika.

Amir

Mgeni
Dec 10, 2021
736
12
5
tanzania

Komba Kuchezesha Mechi Ligi ya Mabingwa Afrika.​

tanfootball_272756120_354849046454817_3798002986420392169_n.jpg

MWAMUZI wa Tanzania Frank Komba ameteuliwa na CAF kuwa miongoni mwa Waamuzi watakaochezesha mchezo wa hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika Raja CA (Morocco) dhidi ya Amazulu (Afrika Kusini) utakaochezwa kwenye Uwanja wa Mohamed V Casablanca, Morocco Februari 12,2022.
Komba yupo nchini Cameroon kwenye michuano ya Kombe la mataifa huru Afrika (AFCON)