Madrid bado inamdai Ancelloti makombe

jamal

Mgeni
Nov 4, 2022
148
90
5
Madrid wamerudi nyuma sana saivi sijui tatzo liko wapi wako nafasi ya pili nyuma ya Barcelona kwa pointi 3 kamili, Hapo mbele February wanaendakukutana na Liverpool kwenye Champions Ligi watawezana kweli? au Liverpool ataenda kulipa kisasi Ingawa nao sio wazuri kwasasa.

Madrid kapoteza pointi 3 mbele ya Villarreal, Madrid wanahitaji mbadala wa wachezaji lasivyo wataendelea kubahatisha ushindi kila siku na wakukutana na timu imejipanga wanapigwa. Camavinga hawezi kukua kama atakua anaingizwa ukishazidiwa mbinu, mpe dakika za kutosha akomae mbona Asensio wanampa muda

Crucial stage of the season and dropping shit performances
Fl4qWuKWAAIaXLh.jpg
 

Zawadi

Mgeni
Nov 4, 2022
41
17
5
Madrid wamerudi nyuma sana saivi sijui tatzo liko wapi wako nafasi ya pili nyuma ya Barcelona kwa pointi 3 kamili, Hapo mbele February wanaendakukutana na Liverpool kwenye Champions Ligi watawezana kweli? au Liverpool ataenda kulipa kisasi Ingawa nao sio wazuri kwasasa.

Madrid kapoteza pointi 3 mbele ya Villarreal, Madrid wanahitaji mbadala wa wachezaji lasivyo wataendelea kubahatisha ushindi kila siku na wakukutana na timu imejipanga wanapigwa. Camavinga hawezi kukua kama atakua anaingizwa ukishazidiwa mbinu, mpe dakika za kutosha akomae mbona Asensio wanampa muda

Crucial stage of the season and dropping shit performances
View attachment 1019
Ancelloti awape watoto nafasi
 

Joan

Mgeni
Dec 13, 2022
24
12
5
Madrid wamerudi nyuma sana saivi sijui tatzo liko wapi wako nafasi ya pili nyuma ya Barcelona kwa pointi 3 kamili, Hapo mbele February wanaendakukutana na Liverpool kwenye Champions Ligi watawezana kweli? au Liverpool ataenda kulipa kisasi Ingawa nao sio wazuri kwasasa.

Madrid kapoteza pointi 3 mbele ya Villarreal, Madrid wanahitaji mbadala wa wachezaji lasivyo wataendelea kubahatisha ushindi kila siku na wakukutana na timu imejipanga wanapigwa. Camavinga hawezi kukua kama atakua anaingizwa ukishazidiwa mbinu, mpe dakika za kutosha akomae mbona Asensio wanampa muda

Crucial stage of the season and dropping shit performances
View attachment 1019
Liverpool wanatamani wawe hivi hivi mpaka February
 

Azizi

Mgeni
Dec 13, 2022
38
26
5
Madrid wamerudi nyuma sana saivi sijui tatzo liko wapi wako nafasi ya pili nyuma ya Barcelona kwa pointi 3 kamili, Hapo mbele February wanaendakukutana na Liverpool kwenye Champions Ligi watawezana kweli? au Liverpool ataenda kulipa kisasi Ingawa nao sio wazuri kwasasa.

Madrid kapoteza pointi 3 mbele ya Villarreal, Madrid wanahitaji mbadala wa wachezaji lasivyo wataendelea kubahatisha ushindi kila siku na wakukutana na timu imejipanga wanapigwa. Camavinga hawezi kukua kama atakua anaingizwa ukishazidiwa mbinu, mpe dakika za kutosha akomae mbona Asensio wanampa muda

Crucial stage of the season and dropping shit performances
View attachment 1019
Benzema kaweka nikasema oyooo... gafla tuta duh
 

Rashidi

Mgeni
Dec 13, 2022
56
40
5
Madrid wamerudi nyuma sana saivi sijui tatzo liko wapi wako nafasi ya pili nyuma ya Barcelona kwa pointi 3 kamili, Hapo mbele February wanaendakukutana na Liverpool kwenye Champions Ligi watawezana kweli? au Liverpool ataenda kulipa kisasi Ingawa nao sio wazuri kwasasa.

Madrid kapoteza pointi 3 mbele ya Villarreal, Madrid wanahitaji mbadala wa wachezaji lasivyo wataendelea kubahatisha ushindi kila siku na wakukutana na timu imejipanga wanapigwa. Camavinga hawezi kukua kama atakua anaingizwa ukishazidiwa mbinu, mpe dakika za kutosha akomae mbona Asensio wanampa muda

Crucial stage of the season and dropping shit performances
View attachment 1019
World cup imeharibu hii timu
 

McRay

Mgeni
Nov 4, 2022
185
131
5
Madrid wamerudi nyuma sana saivi sijui tatzo liko wapi wako nafasi ya pili nyuma ya Barcelona kwa pointi 3 kamili, Hapo mbele February wanaendakukutana na Liverpool kwenye Champions Ligi watawezana kweli? au Liverpool ataenda kulipa kisasi Ingawa nao sio wazuri kwasasa.

Madrid kapoteza pointi 3 mbele ya Villarreal, Madrid wanahitaji mbadala wa wachezaji lasivyo wataendelea kubahatisha ushindi kila siku na wakukutana na timu imejipanga wanapigwa. Camavinga hawezi kukua kama atakua anaingizwa ukishazidiwa mbinu, mpe dakika za kutosha akomae mbona Asensio wanampa muda

Crucial stage of the season and dropping shit performances
View attachment 1019
Mendy anazingua sana