Madrid wanamtaka Bruno wa United?

Lukac

Mgeni
Nov 4, 2022
120
83
5
Real Madrid wanafuatilia hali ya mwamba wa Manchester United Bruno Fernandes ambaye kwa sasa awajibikia timu ya taifa la Ureno..

Kufikia sasa katika kombe la Dunia Bruno amehusika moja kwa moja katika upatikanaji wa mabao 4 akifunga mawili na kuchangia mengine mawili.

Mwezi Juni,Bruno Fernandes alirefusha mkataba na mashetani wekundu kusalia Old Trafford hadi mwaka wa 2026 lakini inasemekana timu hiyo ya Uhispania iko tayari kuvunja benki ili kunasa huduma za kiungo huyo
E387AC81-1A5D-4D9C-86D2-566A373B5CD3.jpeg
 

McRay

Mgeni
Nov 4, 2022
185
131
5
Real Madrid wanafuatilia hali ya mwamba wa Manchester United Bruno Fernandes ambaye kwa sasa awajibikia timu ya taifa la Ureno..

Kufikia sasa katika kombe la Dunia Bruno amehusika moja kwa moja katika upatikanaji wa mabao 4 akifunga mawili na kuchangia mengine mawili.

Mwezi Juni,Bruno Fernandes alirefusha mkataba na mashetani wekundu kusalia Old Trafford hadi mwaka wa 2026 lakini inasemekana timu hiyo ya Uhispania iko tayari kuvunja benki ili kunasa huduma za kiungo huyo
View attachment 713
wachawi hawa
 

jamal

Mgeni
Nov 4, 2022
148
90
5
Real Madrid wanafuatilia hali ya mwamba wa Manchester United Bruno Fernandes ambaye kwa sasa awajibikia timu ya taifa la Ureno..

Kufikia sasa katika kombe la Dunia Bruno amehusika moja kwa moja katika upatikanaji wa mabao 4 akifunga mawili na kuchangia mengine mawili.

Mwezi Juni,Bruno Fernandes alirefusha mkataba na mashetani wekundu kusalia Old Trafford hadi mwaka wa 2026 lakini inasemekana timu hiyo ya Uhispania iko tayari kuvunja benki ili kunasa huduma za kiungo huyo
View attachment 713
Wameanza mapema sana
 
  • Like
Reactions: McRay