Makundi Kufuzu AFCON 2025 Morocco Kupangwa Leo

Kijiweni

Administrator
Staff member
Nov 7, 2022
278
395
25
Leo ndio Ile siku ambayo droo ya makundi ya kufuzu kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON2025) itakayofanyika nchini Morocco inafanyika nchini Afrika Kusini katika jiji la Johannesburg ambapo nchi hizi ndio ambazo utaziona zikipangwa katika makundi mbalimbali ambazo ni Morocco (Wenyeji), Cote d’Ivoire, Algeria, Angola, Benin, Botswana, Burundi, Cameroon, Cape Verde, Central African Republic, Chad, Comoros, Congo, DR Congo, Egypt, Equatorial Guinea, Eswatini, Ethiopia, Gabon, Gambia, Ghana, Guinea, Guinea Bissau, Kenya, Lesotho, Liberia, Libya, Madagascar, Malawi, Mali, Mauritania, Mozambique, Namibia, Niger, Nigeria, Rwanda, Sao Tome & Principe, Senegal, Sierra Leone, South Africa, South Sudan, Sudan, Tanzania, Togo, Tunisia, Uganda, Zambia na Zimbabwe.

Ungepata Nafasi Ya Kupanga Makundi Ya Kufuzu Msimu Huu Ungeyapanga Vipi?
 
  • Like
Reactions: Jii
Jul 3, 2024
1
1
5
Leo ndio Ile siku ambayo droo ya makundi ya kufuzu kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON2025) itakayofanyika nchini Morocco inafanyika nchini Afrika Kusini katika jiji la Johannesburg ambapo nchi hizi ndio ambazo utaziona zikipangwa katika makundi mbalimbali ambazo ni Morocco (Wenyeji), Cote d’Ivoire, Algeria, Angola, Benin, Botswana, Burundi, Cameroon, Cape Verde, Central African Republic, Chad, Comoros, Congo, DR Congo, Egypt, Equatorial Guinea, Eswatini, Ethiopia, Gabon, Gambia, Ghana, Guinea, Guinea Bissau, Kenya, Lesotho, Liberia, Libya, Madagascar, Malawi, Mali, Mauritania, Mozambique, Namibia, Niger, Nigeria, Rwanda, Sao Tome & Principe, Senegal, Sierra Leone, South Africa, South Sudan, Sudan, Tanzania, Togo, Tunisia, Uganda, Zambia na Zimbabwe.

Ungepata Nafasi Ya Kupanga Makundi Ya Kufuzu Msimu Huu Ungeyapanga Vipi?
Mimi ninge wapumuzisha tz kukutana n Morocco n congo
 
  • Like
Reactions: Jii

Benso geophrey

Mpiga Chabo
Jul 3, 2024
2
0
0
Leo ndio Ile siku ambayo droo ya makundi ya kufuzu kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON2025) itakayofanyika nchini Morocco inafanyika nchini Afrika Kusini katika jiji la Johannesburg ambapo nchi hizi ndio ambazo utaziona zikipangwa katika makundi mbalimbali ambazo ni Morocco (Wenyeji), Cote d’Ivoire, Algeria, Angola, Benin, Botswana, Burundi, Cameroon, Cape Verde, Central African Republic, Chad, Comoros, Congo, DR Congo, Egypt, Equatorial Guinea, Eswatini, Ethiopia, Gabon, Gambia, Ghana, Guinea, Guinea Bissau, Kenya, Lesotho, Liberia, Libya, Madagascar, Malawi, Mali, Mauritania, Mozambique, Namibia, Niger, Nigeria, Rwanda, Sao Tome & Principe, Senegal, Sierra Leone, South Africa, South Sudan, Sudan, Tanzania, Togo, Tunisia, Uganda, Zambia na Zimbabwe.

Ungepata Nafasi Ya Kupanga Makundi Ya Kufuzu Msimu Huu Ungeyapanga Vipi?
Tanzania, Zimbabwe, south Sudan, Togo.