Manchester United first half iliuacha mpira uchezwe na Mpinzani na hii kwasasa imekuwa mbinu Mpya unachiwa ucheze mpira arafu unaadhibiwa.
Tunamuona Ten Hag Leo amempa majukumu ya kukaba Sana Waghost na amefanikiwa kukaba Ila sio jukumu la kushinda.
mpira ulikuwa mzuri magoli mazuri yote ya mipango Manchester ilikuwa inaweza kushinda goli nyingi Kama sio kukosa umakini golini kwa mpinzani
Rashford amewaka Sasa kila team inamuogopa maana anakufunga mda wowote ule Sancho amerudi Manchester wanacheza kwakuutaka ubingwa sio team ambayo ipo ipo Sasa inauhakika kuwa ikishinda inakuwa na amzingira mazuri ya Ubingwa.

Tunamuona Ten Hag Leo amempa majukumu ya kukaba Sana Waghost na amefanikiwa kukaba Ila sio jukumu la kushinda.
mpira ulikuwa mzuri magoli mazuri yote ya mipango Manchester ilikuwa inaweza kushinda goli nyingi Kama sio kukosa umakini golini kwa mpinzani
Rashford amewaka Sasa kila team inamuogopa maana anakufunga mda wowote ule Sancho amerudi Manchester wanacheza kwakuutaka ubingwa sio team ambayo ipo ipo Sasa inauhakika kuwa ikishinda inakuwa na amzingira mazuri ya Ubingwa.
