Martinez leo ni siku yake yakuzaliwa na ameomba kuanza kwenye mechi ikiwa kama siku yake muhimu

Brenda

Mgeni
Oct 31, 2022
489
403
5
Dar es salaam
Mwamba Martinz leo kwenye siku yake yakuzaliwa kaomba kuanza Leo kwenye kikosi Cha kwanza maana ni siku special kwake

Ikumbekwe ETH alimuambia Butcher kuwa ligi inaanza asijisaau na kushangilia ubingwa back to the business dogo akavuta kaa week HV 10 alicho fanya akachukua Shaw akaweka center back Yan yeye ana MDA anaamini timu ndio kubwa sio mchezaji, Bonge la kocha.

Leo anaweza mmoja atolewe kafara pale kati katu ya FRED NA CASEMORO wote wana kadi 4 hivo yeyote akipata leo kadi kama atacheza bas game ya Asernal anakosa

Ni bora CASEMIRO apumzike leo weka Fred akila kadi tena sio mbaya sana game ijayo ngumu zaidi.

6362C975-0C81-4A9D-B537-2E7DCD783F62.jpeg
 
  • Like
Reactions: McRay and Nabi

Nabi

Mgeni
Nov 4, 2022
121
124
5
Mwamba Martinz leo kwenye siku yake yakuzaliwa kaomba kuanza Leo kwenye kikosi Cha kwanza maana ni siku special kwake

Ikumbekwe ETH alimuambia Butcher kuwa ligi inaanza asijisaau na kushangilia ubingwa back to the business dogo akavuta kaa week HV 10 alicho fanya akachukua Shaw akaweka center back Yan yeye ana MDA anaamini timu ndio kubwa sio mchezaji, Bonge la kocha.

Leo anaweza mmoja atolewe kafara pale kati katu ya FRED NA CASEMORO wote wana kadi 4 hivo yeyote akipata leo kadi kama atacheza bas game ya Asernal anakosa

Ni bora CASEMIRO apumzike leo weka Fred akila kadi tena sio mbaya sana game ijayo ngumu zaidi.

View attachment 1050
McTominay hii game inamfaa kabisa....hata Iqbal Zidane!!!!
 
  • Like
Reactions: McRay

McRay

Mgeni
Nov 4, 2022
185
131
5
Mwamba Martinz leo kwenye siku yake yakuzaliwa kaomba kuanza Leo kwenye kikosi Cha kwanza maana ni siku special kwake

Ikumbekwe ETH alimuambia Butcher kuwa ligi inaanza asijisaau na kushangilia ubingwa back to the business dogo akavuta kaa week HV 10 alicho fanya akachukua Shaw akaweka center back Yan yeye ana MDA anaamini timu ndio kubwa sio mchezaji, Bonge la kocha.

Leo anaweza mmoja atolewe kafara pale kati katu ya FRED NA CASEMORO wote wana kadi 4 hivo yeyote akipata leo kadi kama atacheza bas game ya Asernal anakosa

Ni bora CASEMIRO apumzike leo weka Fred akila kadi tena sio mbaya sana game ijayo ngumu zaidi.

View attachment 1050
Martinez akianza leo sio mbaya