For me Easy game kwa Yanga, Nabi katumia ile game kuwapa match fitness baadhi ya players kama Aziz Ki,Musonda na Bryson.
Yanga walikuwa wakubwa sana kwa Rhino..1st half hawakua na hata shot 1. na walisharuhusu goli 5
Kuanzia hatua hii inayofuata ndio tunaweza sema tupime ukubwa wa kikosi cha Yanga.
But as far as it stands Yanga inaweza field kikosi chochote uwanjani na kupata matokeo
Mfano so far tumeona kikosi kinachocheza ligi kuu, kuna kingine kimecheza Mapinduzi, na hiki kinachocheza Shirikisho

Yanga walikuwa wakubwa sana kwa Rhino..1st half hawakua na hata shot 1. na walisharuhusu goli 5
Kuanzia hatua hii inayofuata ndio tunaweza sema tupime ukubwa wa kikosi cha Yanga.
But as far as it stands Yanga inaweza field kikosi chochote uwanjani na kupata matokeo
Mfano so far tumeona kikosi kinachocheza ligi kuu, kuna kingine kimecheza Mapinduzi, na hiki kinachocheza Shirikisho
