MECHI YANGU BORA YA WORLD CUP 2022 NI ARGENTINA vs NETHERLANDS

Balyx_

Mgeni
Dec 19, 2022
93
72
5
Hii mechi mbungi ilipigwa, jasho na damu viliwatoka wachezaji waliokua nabkiu ya kumkatisha tamaa Messi na Wengine wakiwa na Shauku ya kumuona Messi akifanikiwa. Mwisho wa siku wakajikuta wanatupa burudani yenye vitimbwi ndani yake haswaaa.

Kwako wewe, ipi ilikuwa bora kuzidi hii?
 

Zaka

Mgeni
Dec 13, 2022
43
27
5
Hii mechi mbungi ilipigwa, jasho na damu viliwatoka wachezaji waliokua nabkiu ya kumkatisha tamaa Messi na Wengine wakiwa na Shauku ya kumuona Messi akifanikiwa. Mwisho wa siku wakajikuta wanatupa burudani yenye vitimbwi ndani yake haswaaa.

Kwako wewe, ipi ilikuwa bora kuzidi hii?
🔥🔥🔥
 
  • Like
Reactions: Balyx_

Nabi

Mgeni
Nov 4, 2022
121
124
5
Hii mechi mbungi ilipigwa, jasho na damu viliwatoka wachezaji waliokua nabkiu ya kumkatisha tamaa Messi na Wengine wakiwa na Shauku ya kumuona Messi akifanikiwa. Mwisho wa siku wakajikuta wanatupa burudani yenye vitimbwi ndani yake haswaaa.

Kwako wewe, ipi ilikuwa bora kuzidi hii?
Argentina vs France
 
  • Like
Reactions: Balyx_

Capitano

Mgeni
Nov 8, 2022
10
29
5
Hii mechi mbungi ilipigwa, jasho na damu viliwatoka wachezaji waliokua nabkiu ya kumkatisha tamaa Messi na Wengine wakiwa na Shauku ya kumuona Messi akifanikiwa. Mwisho wa siku wakajikuta wanatupa burudani yenye vitimbwi ndani yake haswaaa.

Kwako wewe, ipi ilikuwa bora kuzidi hii?
Mechi ya fainali kwangu ni bora sana, maana ilifika wakati tunaona bingwa ni ARGENTINA, lakini dakika chache kabla mechi kuisha, tukaanza kujiuliza kombe linaenda wapi? Maana ilikuwa piga nikupige, na vuta nikuvute.

Kitu kingine cha kipekee kabisa kwangu ni namna referee Szymon Marciniak kutoka Poland alivyochezesha mchezo kwa weledi sana, na alifanya mchezo wa soka uwe na ladha yake ya asili kwakuwa hatukuwa na VAR check hata moja, japokuwa kulikuwa na matukio yenye utata, lakini referee Szymon Marciniak hakutetereka na maamuzi yake hata mara moja, na alikuwa fair.
 

Brenda

Mgeni
Oct 31, 2022
489
403
5
Dar es salaam
Hii mechi mbungi ilipigwa, jasho na damu viliwatoka wachezaji waliokua nabkiu ya kumkatisha tamaa Messi na Wengine wakiwa na Shauku ya kumuona Messi akifanikiwa. Mwisho wa siku wakajikuta wanatupa burudani yenye vitimbwi ndani yake haswaaa.

Kwako wewe, ipi ilikuwa bora kuzidi hii?
Game ya finali
 

ChichaMandi

Mgeni
Dec 15, 2022
65
71
5
Hii mechi mbungi ilipigwa, jasho na damu viliwatoka wachezaji waliokua nabkiu ya kumkatisha tamaa Messi na Wengine wakiwa na Shauku ya kumuona Messi akifanikiwa. Mwisho wa siku wakajikuta wanatupa burudani yenye vitimbwi ndani yake haswaaa.

Kwako wewe, ipi ilikuwa bora kuzidi hii?
Mh aise kwng ni Hii Fainali moja ya mech Bora kushuhudia ktk fainal za kombe la Dunia
 
  • Like
Reactions: jamal

jamal

Mgeni
Nov 4, 2022
148
90
5
Hii mechi mbungi ilipigwa, jasho na damu viliwatoka wachezaji waliokua nabkiu ya kumkatisha tamaa Messi na Wengine wakiwa na Shauku ya kumuona Messi akifanikiwa. Mwisho wa siku wakajikuta wanatupa burudani yenye vitimbwi ndani yake haswaaa.

Kwako wewe, ipi ilikuwa bora kuzidi hii?
Imedizi Fainali?
Mh aise kwng ni Hii Fainali moja ya mech Bora kushuhudia ktk fainal za kombe la Dunia
Sure mzee
 

McRay

Mgeni
Nov 4, 2022
185
131
5
Hii mechi mbungi ilipigwa, jasho na damu viliwatoka wachezaji waliokua nabkiu ya kumkatisha tamaa Messi na Wengine wakiwa na Shauku ya kumuona Messi akifanikiwa. Mwisho wa siku wakajikuta wanatupa burudani yenye vitimbwi ndani yake haswaaa.

Kwako wewe, ipi ilikuwa bora kuzidi hii?
kwangu mimi mechi ya fainali ilikua bora zaidi
 
  • Like
Reactions: Balyx_

Lukac

Mgeni
Nov 4, 2022
120
83
5
Hii mechi mbungi ilipigwa, jasho na damu viliwatoka wachezaji waliokua nabkiu ya kumkatisha tamaa Messi na Wengine wakiwa na Shauku ya kumuona Messi akifanikiwa. Mwisho wa siku wakajikuta wanatupa burudani yenye vitimbwi ndani yake haswaaa.

Kwako wewe, ipi ilikuwa bora kuzidi hii?
France na Argentina
 

Mgunda Zone

Mgeni
Nov 4, 2022
83
88
5
Hii mechi mbungi ilipigwa, jasho na damu viliwatoka wachezaji waliokua nabkiu ya kumkatisha tamaa Messi na Wengine wakiwa na Shauku ya kumuona Messi akifanikiwa. Mwisho wa siku wakajikuta wanatupa burudani yenye vitimbwi ndani yake haswaaa.

Kwako wewe, ipi ilikuwa bora kuzidi hii?
fainal🔥