Mnakumbuka kipindi kile Pele aliweka Record ya kutupia Hat-trick kwenye mchezo wa nusu fainali na baadae kuweka mawili final? basi leo inawezekana ikawekwa Historia nyingine na Mwamba huyu Messi "THE GOAT" , anaenda kuishangaza dunia leo. Kila la Kheri wamba wa Argentina
View attachment 850