YANGA YAENDELEA KUWA KAMA MSHUMAA NJEE KIDOGO TU WAZIMIKA

Yanga yatoa tena na sare dhidi ya Club Africain kwa mkapa, ni baada ya kutolewa katika mashindano ya club bigwa waliokutana na AlHilaly kwa sare ya 1-1 nyumbani na ugenini 1-0 na kupelekea kuangukia mashindano ya kombe la Shirikisho, ambayo mshindano hayo wameanzia nyumbani na kumalizika kwa sare ya 0-0.
Yanga bado wanapata tabu kupata matokeo katika uwanja wao wa nyumbani (Benjamini Mkapa) wanapokutana na timu za njee pamoja na kuwa na wachezaji wakubwa ndani ya kikosi.
Mashabiki wamlalamikia kocha ANAFELI WAPI? NA WACHEZAJI WOTE WENYE UWEZO MKUBWA ANAO.???