Mpira umechezwa na timu zote kwa na hali ya juu sana.
Mchezo huu ulidhihirisha kuwa ni mechi ya derby hasa kwa ushindani uliokuwepo pamoja na ubora wa mchezo huo.
Simba Vs Azam ni moja ya mechi ya derby za Dar Es Salaam, ambazo zinavutia sana kuangalia, achilia mbali mbali matokeo yake kuwa yatakufurahisha au yasikufurahishe.
Shida sio kocha ni wachezaji mtafukuza kila siku makocha lakini ukweli usemwe hatuna wachezaji wenye viwango wengi ni goigoi wengi vipolo wengi wazee igeni mfano wa Raja nowadays mpira ni wa vijana sajilini wachezaji wenye viwango muone kama Robertinyo hajafanya vizuri!!
Naomba mniulizie kwa kocha kwani Phiri ana tatizo gani hadi achezi na bocco ana ubora gani hadi anaanza???mchezaji mwenye goli 10 unamuacha nje kweliiiiiiiii...Nyie hamtutakii mema mashabiki na ipo siku mtaingia uwanjani peke yenu hakuna shabiki atakayekuja kuwasapoti
Mchezo huu ulidhihirisha kuwa ni mechi ya derby hasa kwa ushindani uliokuwepo pamoja na ubora wa mchezo huo.
Simba Vs Azam ni moja ya mechi ya derby za Dar Es Salaam, ambazo zinavutia sana kuangalia, achilia mbali mbali matokeo yake kuwa yatakufurahisha au yasikufurahishe.
Shida sio kocha ni wachezaji mtafukuza kila siku makocha lakini ukweli usemwe hatuna wachezaji wenye viwango wengi ni goigoi wengi vipolo wengi wazee igeni mfano wa Raja nowadays mpira ni wa vijana sajilini wachezaji wenye viwango muone kama Robertinyo hajafanya vizuri!!
Naomba mniulizie kwa kocha kwani Phiri ana tatizo gani hadi achezi na bocco ana ubora gani hadi anaanza???mchezaji mwenye goli 10 unamuacha nje kweliiiiiiiii...Nyie hamtutakii mema mashabiki na ipo siku mtaingia uwanjani peke yenu hakuna shabiki atakayekuja kuwasapoti