Ni Rasmi Henock Inonga Atasalia Simba!

ChichaMandi

Mgeni
Dec 15, 2022
65
71
5
Klabu Ya Simba SC Imemuongezea Mkataba Wa Miaka 2 Beki Wake Wa Kimataifa Wa DR Congo Na Klabu Hiyo,Henock Inonga Ambalo Mkataba Huo Utamalizika Mwaka 2025.

Mkataba Wa Awali Wa Mlinzi Bora Wa Msimu Uliopita Wa Ligi Kuu Tanzania Bara Ulikuw Unamalizika June 2023 Na Sasa Atasalia Klabun Hapo Mpaka June 2025.
 

Attachments

  • IMG_20221225_160915.jpg
    IMG_20221225_160915.jpg
    1.6 MB · Somwa: 0