Saa 12:15 Jioni, Mabingwa watetezj Yanga SC watakuwa dimba la Benjamin Mkapa wakicheza na Coastal Union.
Je, wananchi wataendelea kukusanya alama tatu ama kusimamishwa na wanamangushi?
Ila mapema Saa 10:00 Jioni, Ruvu Shooting watakuwa uwanja wa Uhuru wakiwakaribisha Mtibwa Sugar.
Nini utabiri wako kwenye mechi za leo?
Je, wananchi wataendelea kukusanya alama tatu ama kusimamishwa na wanamangushi?
Ila mapema Saa 10:00 Jioni, Ruvu Shooting watakuwa uwanja wa Uhuru wakiwakaribisha Mtibwa Sugar.
Nini utabiri wako kwenye mechi za leo?