Nimeona mitandaoni ati team yangu ya Yanga ndo wanacheza hizi drama za kumrubuni Kibu ili kumsajili.
Huu sio weledi ni jambo baya na uhuni.
Sisi ni watu tushindane katika uhalali sio dhuluma.
Kibu aache mambo ya ajabu akatumikie team yake Simba. Simba wamempa heshima wakampa mkataba na kalipwa pesa ndefu million 760 Bado anawazingua.
Kama alikuwa hataki angeweka wazi Simba wakatafuta mchezaji mwingine akaenda preseason kujiandaa, kama alivofanya Chama alikwambia mapema wakajua kuziba pengo lake.
Kama Yanga tutamsajili huyu Kibu itakuwa ni maudhi
Huu sio weledi ni jambo baya na uhuni.
Sisi ni watu tushindane katika uhalali sio dhuluma.
Kibu aache mambo ya ajabu akatumikie team yake Simba. Simba wamempa heshima wakampa mkataba na kalipwa pesa ndefu million 760 Bado anawazingua.
Kama alikuwa hataki angeweka wazi Simba wakatafuta mchezaji mwingine akaenda preseason kujiandaa, kama alivofanya Chama alikwambia mapema wakajua kuziba pengo lake.
Kama Yanga tutamsajili huyu Kibu itakuwa ni maudhi