Nukuu 2 Za Leo za MURTAZA MANGUNGU Baada Ya Kauli za Mo Dewji

Kijiweni

Administrator
Staff member
Nov 7, 2022
281
396
25
“Suala la Try Again kujiuzulu na kumpendekeza MO kuwa Mwenyekiti wa Bodi ni maoni yake binafsi nje na utaratibu wa Kikatiba, Mwenyekiti wa Bodi anachaguliwa na Wajumbe wa bodi kwa kupigiwa kura hivyo tutamchagua Mwenyekiti wa Bodi kwa mujibu wa Katiba”-

“Hakuna wasiwasi wowote wa Wajumbe ambao wameamua kujiuzulu kwasababu wamejipima na wameona wanahitaji changamoto mpya, hivyo Wajumbe wengine watateuliwa upande wa Mwekezaji, waje tuchague Mwenyekiti mpya wa Bodi na tufanye kazi”-
 

Roby Simba

Mgeni
Jun 11, 2024
21
11
5
Hahaha mangungu bhana na yeye hatumtaki aondeke tu na siku zote hawawezi kubishan na Mo kwasababu hata ile transformation (mabadiliko) Bado hayaja kamilika ndo maana wanaona Mo kama anajichulia maamuzi
 

Robbrygo JR

Mgeni
May 20, 2024
14
8
5
Huyo Mangungu ndio kaharibu SIMBA yetu. Alianza kutudanganya kweny uchaguz alimleta ROBBY MANZOKI na aliahidi kumsajili baada ya kupita lakin matokeo yake tunaletewa kina JOBE, SAWADOGO. Atoke timu sio ya Baba yake ✊✊
 

Saidy

Mgeni
Jun 5, 2024
64
16
5
Kwa upande wangu naona wazi Mangungu sio tatizo ndani ya Simba, wale ambao ni tatizo ndio wanaanza kujiengua wenyewe kama ilivyo maji na mafuta.
Viongozi wa Simba wanahitaji umakini kuangalia viongozi chonganishi ndani ya klabu hiyo, na sio kukurupuka kutumika kama walivyo sasa kwenye maamuzi yao ya uongozi.
 
  • Like
Reactions: Kijiweni

Dosantos

Mpiga Chabo
Jun 13, 2024
1
0
0
Mangungu kwani ni Nani bhana sisi hatumtaki jaman mbona hatuelewani yeye anapendwa na Nani ebu tuwafaham basi walio upande wake mbona Kama anatupotezea muda tu
 

Rhino

Mgeni
May 8, 2024
10
1
5
“Suala la Try Again kujiuzulu na kumpendekeza MO kuwa Mwenyekiti wa Bodi ni maoni yake binafsi nje na utaratibu wa Kikatiba, Mwenyekiti wa Bodi anachaguliwa na Wajumbe wa bodi kwa kupigiwa kura hivyo tutamchagua Mwenyekiti wa Bodi kwa mujibu wa Katiba”-

“Hakuna wasiwasi wowote wa Wajumbe ambao wameamua kujiuzulu kwasababu wamejipima na wameona wanahitaji changamoto mpya, hivyo Wajumbe wengine watateuliwa upande wa Mwekezaji, waje tuchague Mwenyekiti mpya wa Bodi na tufanye kazi”-
Uchaguzi ufanyike basi maana mnatuzingua