Seleman Matola Kuwa Tena Sehemu Ya Benchi La Ufundi La Simba Ni Kwamba Timu Ipo Palepale

Mshua

Mgeni
May 27, 2024
34
24
5
Nimeshituka kuona seleman matola anaendelea kuwa ni sehemu ya benchi la ufundi kama kocha msaidizi. Sina mashaka na uwezo wa matola , Sina wivu naye , ila simba wangehitaji mabadiliko wangebadili kabisa huu mfumo, what so special kwa matola , makocha karibu nane wameondolewa matola akiwa ni sehemu ya benchi,kwani hakuna makocha wengine wazawa ambao wanaoijua Simba vizuri, ambao watakuwa msaada kwa kocha mpya, ukimsikiliza aliye kuwa kocha wa makipa Simba anadai even video analysit wa timu ni MUNGU mtu pale , kile ni kipimo Cha kuwa Kuna shida kwenye timu kuanzia kwenye management hadi kwa wachezaji, kilichotokea kwa kuwaondoa inonga na chama kuwa sehemu ya timu kinahitajika hata kwenye benchi la ufundi , otherwise tunadanganyana, kwa hali hii Kabla ya Christmas huyu kocha wa Simba hatakuwa sehemu ya timu
 

Moze wa segu

Mpiga Chabo
Jul 8, 2024
1
0
0
Sahihi matola hastahili kuwepo pale. Yani nashindwa kuelewa we mtu kila kocha anaekuja akiondoka anakosoa management hv hawajifikirii hawa kwel halaf wanatupia lawama kwa wachezaji
 

Eddy de Jr

Mgeni
May 9, 2024
48
7
5
Wangemleta Mgosi au Bocco tu huku, afu Matola aende kwa vijana au SQ, au aende kutafuta changamoto sehemu nyingine. Kwa hali hii hata yeye mwenyewe hawezi kupata promotion yeyote.
 

Kubwa

Mpiga Chabo
Jun 11, 2024
2
0
0
Kama kweli walimaanisha kuunda timu upya matola hakupaswa kubaki pale kwa sababu ni mtu ambae awepo asiwepo hakuna kinacho pungua wala kuongezeka mara kadhaa aliachiwa timu baada ya makocha kuondoka lakini mara zote amekua akifanya vibaya, apewe timu ya vijana au aangalie ustarabu mwingine
 

MR. VIP

Mgeni
May 17, 2024
22
3
5
Nimeshituka kuona seleman matola anaendelea kuwa ni sehemu ya benchi la ufundi kama kocha msaidizi. Sina mashaka na uwezo wa matola , Sina wivu naye , ila simba wangehitaji mabadiliko wangebadili kabisa huu mfumo, what so special kwa matola , makocha karibu nane wameondolewa matola akiwa ni sehemu ya benchi,kwani hakuna makocha wengine wazawa ambao wanaoijua Simba vizuri, ambao watakuwa msaada kwa kocha mpya, ukimsikiliza aliye kuwa kocha wa makipa Simba anadai even video analysit wa timu ni MUNGU mtu pale , kile ni kipimo Cha kuwa Kuna shida kwenye timu kuanzia kwenye management hadi kwa wachezaji, kilichotokea kwa kuwaondoa inonga na chama kuwa sehemu ya timu kinahitajika hata kwenye benchi la ufundi , otherwise tunadanganyana, kwa hali hii Kabla ya Christmas huyu kocha wa Simba hatakuwa sehemu ya timu
Nitachangia kama ulivyosema lkn ninadhani kubaki kwa matora kunaweza kuwa ni uzoefu wake katika timu kwa ajili ya kumpookea na kumfanya kocha mpya asiwe kama kwenye kisiwa kisicho na watu bali awe mwenyeji wake katika timu.