Si Umeuona Usajili Wa Timu Yako? Fanya Kama Una Tangaza Mpira Mpaka Goli Linapatikana Kwa Kikosi Ambacho Mmekisajili

Kijiweni

Administrator
Staff member
Nov 7, 2022
281
396
25
Si umeuona Usajili Wa Timu Yako? Fanya kama una tangaza Mpira mpaka goli linapatikana Kwa kikosi ambacho mmekisajili

Twende Kazi Sasa ⤵️
 
  • Like
Reactions: leonsi

NGUVUMALI

Mgeni
May 20, 2024
26
7
5
Anaanza rakred anampigia shom sham anarudi kwa rakred anampigia che Malone Malone anapiga ndeeeeeefu inamkuta mutale mutale mutale anafinya wakwanza anafinya wapili anampa Pale Fernandez Fernandez anaitoa kwajuu kipa kakubalii mutaleeeeeeeeeeee oooooooh goal 🥅 gani hili ni man city au Liverpool mbona sielewii aaaaaaaaaaah ni goal la kikubwa Lina fungwa na team kubwa kutoka nch kubwa kwaubora mkubwa mashabiki Wana chachawa kwa furaha
 
  • Like
Reactions: Chris_breezy255

ABDULQADIR

Mgeni
Jun 23, 2024
9
3
5
Anaanza diarra pale anamgusia mojà kule yaoyao jeshi anamchukua mmoja pale anamgusia mbelee kabisa shadrack boka,, boka yuko na mpirà pale anaangalia ampe nani inampita job na bacca inatua kwa aucho doctor doctor aNampa mudarhir hadi kwa AZIZI KI,,KI aNampa pacome ,, pacome eeh tobo pale pacome baba ,, pasi inafika kwa MWAMBA wa Lusaka triple C taratibu na mpirà kamla kanzu mtu hehehe Aya sasa chama baba chama mpirà unamkuta prince mpombelelo dube,, dube ndani ya box dube dubeeeeeeeeeeeee
 
Jun 2, 2024
15
9
5
Diarra anaamuwa anaze fupi na The Tank Aucho mwamba kutoka The Cranes anapaka mafuta mali ile pasi ya kutambalizaa kwake Azizi kiii yang ni wa moto ni kma kuna kitu wanatemgeneza Aziiz kii what a pass kwake Paccome bila hiya anaachi mali kwenda kwa Mwamba wa Lusaka chamaa baaba chamaa locomotive faint we chama Babaaaaaa Ooooh Dubeeeeeeeeeeeeeeeee....Amazon kutabasamu akiwa anafanyaa mauwajiii huyuu ni the baby Face Killer Ukiambiwa ni mwana Mfalmee huezi ukakubali why anakuwa mkatili nmna hii kwani yeye ni mchawiii kalabaaa oooooh what a wow......
Pasi ilitokaa Burkinafaso mpaka Ivory Coast kabla ya kwenda Zambiaaa kabla ya kutua kwa baby face killer huko Zimbabwe oooh Yanga 3 Simba bado 0 nyasi zinaumana kweli kweli hapa....
 
  • Like
Reactions: Chris_breezy255

Chris_breezy255

Mpiga Chabo
Jul 10, 2024
2
0
0
Ayoub anaanzisha harakaharaka kwake Che Malone.. Che Malone anatafuta wa kucheza nae anampasia Fabriiiiis Luamba ngoma unaweza kumuita midfielder teacher anapokea mali uzuuuri kabisa anatafuta pa kupita anarudisha kwa zimbwe makotroo.. zimbwe anapiga pasi rula inafika kwa fundi Jean Charles unaweza kumuita Michael Scofield 🤩mtaalam wa hizi kazi... linapigwa romantic football hapa🤩 Jean anapiga through pass inafika kwa M9 anamchukua wa kwanza Mukwalaaaaa inakula mtambaa panya mzigo unarudi uwanjani nani anauwahi ooh kibu kibu anaruka diving heda anaweka mali pale gOooooooooooooooool 😂 Kibu Denis Prosper anafungua ukurasa wa magoli kwa kutupia goli matata kweli kweli... kwako kijiweni.. Naam ukitazama movement za kibu kipindi mukwala yupo na mpira ni kama wapinzani walijisahau hivi na kumuacha pekeake,.......
 

Chris_breezy255

Mpiga Chabo
Jul 10, 2024
2
0
0
Diarra anaamuwa anaze fupi na The Tank Aucho mwamba kutoka The Cranes anapaka mafuta mali ile pasi ya kutambalizaa kwake Azizi kiii yang ni wa moto ni kma kuna kitu wanatemgeneza Aziiz kii what a pass kwake Paccome bila hiya anaachi mali kwenda kwa Mwamba wa Lusaka chamaa baaba chamaa locomotive faint we chama Babaaaaaa Ooooh Dubeeeeeeeeeeeeeeeee....Amazon kutabasamu akiwa anafanyaa mauwajiii huyuu ni the baby Face Killer Ukiambiwa ni mwana Mfalmee huezi ukakubali why anakuwa mkatili nmna hii kwani yeye ni mchawiii kalabaaa oooooh what a wow......
Pasi ilitokaa Burkinafaso mpaka Ivory Coast kabla ya kwenda Zambiaaa kabla ya kutua kwa baby face killer huko Zimbabwe oooh Yanga 3 Simba bado 0 nyasi zinaumana kweli kweli hapa....
Kwann simba lakn 🥲
 

juma Amos

Mgeni
Jul 10, 2024
2
1
5
Anaanza rakred anampigia shom sham anarudi kwa rakred anampigia che Malone Malone anapiga ndeeeeeefu inamkuta mutale mutale mutale anafinya wakwanza anafinya wapili anampa Pale Fernandez Fernandez anaitoa kwajuu kipa kakubalii mutaleeeeeeeeeeee oooooooh goal 🥅 gani hili ni man city au Liverpool mbona sielewii aaaaaaaaaaah ni goal la kikubwa Lina fungwa na team kubwa kutoka nch kubwa kwaubora mkubwa mashabiki Wana chachawa kwa furaha
🦁🦁🦁🦁🦁
 
  • Like
Reactions: Chris_breezy255

Wistabby

Mgeni
Jun 22, 2024
20
2
5
Wooow ayoub lakrhed what a save ananzaaa ndefu kabisa kwa medition right futa Jean chearls ahouwa naam uwanja umeitika imepgwa kwa Steven mukwala what a dash kipa uku mpira kule anapiga magoti kusujudu. Steven mukwala 🤲🤲
 

maganga mwamba

Mpiga Chabo
Jun 7, 2024
3
0
0
Anaanza rakred anampigia shom sham anarudi kwa rakred anampigia che Malone Malone anapiga ndeeeeeefu inamkuta mutale mutale mutale anafinya wakwanza anafinya wapili anampa Pale Fernandez Fernandez anaitoa kwajuu kipa kakubalii mutaleeeeeeeeeeee oooooooh goal 🥅 gani hili ni man city au Liverpool mbona sielewii aaaaaaaaaaah ni goal la kikubwa Lina fungwa na team kubwa kutoka nch kubwa kwaubora mkubwa mashabiki Wana chachawa kwa furaha
sio fernandez ni Deborah
 

Jr…3

Mpiga Chabo
Jul 10, 2024
4
0
0
Si umeuona Usajili Wa Timu Yako? Fanya kama una tangaza Mpira mpaka goli linapatikana Kwa kikosi ambacho mmekisajili

Twende Kazi Sasa ⤵️
Chama baba chama baba chaaaama baaaaba kolo wawilii wanapigwa chenga la mwiliii pasii anaisukuma kwa dube…dubeeeeeeee goaaaal…mpumuleloo dube dubee dubeeee