Simba dhidi ya Costal Union Michuano ya FA

kamakawa

Mgeni
Nov 4, 2022
60
57
5
Mimi nilishuhudia Simba ikitawala mpira Sana kipindi Cha pili japo kiungo Cha Coastal union kilikamata Sana mpira

Napenda Aina ya Saido na Chama wanavyofanya wakiwa pamoja wanafanya mpira kile wao wanakitaka

Pia wapinzani walishindwa kuwazuia mabeki wa pembeni ndiyo madhara makubwa yalikuwa yanatoka huko Sana hata Goli lilanzia pembeni.

1675060896449.png
 

Brenda

Mgeni
Oct 31, 2022
489
403
5
Dar es salaam
Mtakuja kufanya wachezaji wazur waondoke kisa uyo kibu ..mtu kama sakho sio wakuwekwa nje na kibu na anahitaj kionekana siku atakuja aombe kuondoka alachezeshwe kwingine
 

Lukac

Mgeni
Nov 4, 2022
120
83
5
wana simba half time kwa sasa ila kwa tathmini yangu dakika 45za awali kiukweli bado simba yetu haiko sawa wachezaji wetu wanapoteza mipira kirahisi sana na mpira haukai miguuni mwao,pasi zile za akili kwa sasa hazipo tena.kiufupi kwa mm nilivyo ona bado tunajitafuta na bado hatujajipa.
 

jamal

Mgeni
Nov 4, 2022
148
90
5
Najiuliza ni kweli Kibu Denis ana kiwango cha Kuwaweka Benchi Okrah na Sakho? Mtafanya wachezaji wazuri waondoke kwa Udalali wenu... Mgunda toka amefika Okrah amekuwa na nafasi finyu sana kwenye Kikosi cha kwanza though ni mchezaji mzuri sana..... Mgunda aache ushkaji