Simba haikuwa na shida na Kocha shida ya Simba ilikuwa na kiungo mkabaji wa asili na no 9 wa asili
Mpira wa huyu Kocha Ni mbovu kabisa team haitembei kabisa team haina ule mpira wake wenyeji wamecheza vizuri wameingia na mpira wa juu Tena wa speed japo uwezo wao sio Kama was Simba Ila wameweza kuishinda Simba sababu mbinu za Mwalimu wa Simba ni mbovu haikuwa na haja ya kucheza 4 -3-3 haikuwa na haja kwa team Kama hii aliye haribu game ni Mwalimu 100%
Simba wana kazi na Raja weekend ijayo akicheza namna hii basi lile jina la kwa Mkapa hatoki mtu tutalisahau bad finishing press mbovu kabisa pongezi kwa Manula, kwani hata nje ya kucheza penati Manula ame save nyingi za wazi.
Simba Ina kazi ngumu Sana mechi zi jazo kwa mbinu hizi za Mwalimu.
Mpira wa huyu Kocha Ni mbovu kabisa team haitembei kabisa team haina ule mpira wake wenyeji wamecheza vizuri wameingia na mpira wa juu Tena wa speed japo uwezo wao sio Kama was Simba Ila wameweza kuishinda Simba sababu mbinu za Mwalimu wa Simba ni mbovu haikuwa na haja ya kucheza 4 -3-3 haikuwa na haja kwa team Kama hii aliye haribu game ni Mwalimu 100%
Simba wana kazi na Raja weekend ijayo akicheza namna hii basi lile jina la kwa Mkapa hatoki mtu tutalisahau bad finishing press mbovu kabisa pongezi kwa Manula, kwani hata nje ya kucheza penati Manula ame save nyingi za wazi.
Simba Ina kazi ngumu Sana mechi zi jazo kwa mbinu hizi za Mwalimu.