Simba vs Yanga Leo | Takwimu Za Timu Gani Zinatisha Zaidi Kuelekea Muda Wa Mechi?

Kijiweni

Administrator
Staff member
Nov 7, 2022
353
483
25
πš‚π™Έπ™Όπ™±π™° πš‚π™² πŸ†š πšˆπ™Ύπš„π™½π™Ά π™°π™΅πšπ™Έπ™²π™°π™½πš‚

Simba Sports Club hawajashindwa kufunga bao katika michezo yao 58 iliyopita katika ligi, mara ya mwisho walishindwa kufanya hivyo kwenye mchezo waliopoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Azam FC mnamo 27 October 2022 .

Simba Sports Club wameshinda mechi moja pekee kati ya 10 za mwisho za ligi dhidi ya Young Africans, wamefungwa nne na kutoka sare tano. Mechi pekee waliyoshinda ni ile ya 2-0 mnamo April 2023 katika mzunguko wa 23 wa NBC Premier League .

Simba Sports Club walipiga pasi 600 katika mchezo wao uliopita wa ligi dhidi ya Coastal Union, idadi kubwa zaidi ya timu yoyote kwenye mechi moja ya NBC Premier League msimu huu .

Ahoua Charles ndiye mchezaji wa kwanza kutoa assists nne katika mechi tano za ufunguzi wa kampeni ya NBC Premier League tangu LuΓ­s Miquissone msimu wa 2020|21 .

_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠__⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠__⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠__⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠___⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_

Young Africans hawajashindwa kupata ushindi katika mchezo wowote wa ligi tangu mwezi April mwaka huu kwenye mechi iliyomalizika kwa sare ya 0-0 dhidi ya JKT Tanzania. Wamecheza mechi 11 tangu kipindi hicho na kushinda zote .

Mara ya mwisho kwa Young Africans kushinda mechi 12 mfululizo katika ligi ilikuwa kati ya December 2022 hadi April 2023 na walipoteza mchezo wao wa 13 kwa kufungwa 2-0 na Simba SC .

Young Africans wamefunga mabao 17 katika kipindi cha pili kwenye mashindano yote msimu huu, sawa na asilimia 56% ya mabao yote 30 .

Young Africans wanaweza kushinda kila moja ya mechi zao tano za ufunguzi wa msimu wa ligi kuu Tanzania bara kwa mara ya tatu katika misimu 10 ya hivi karibuni, baada ya kufanya hivyo pia 2015|16 na 2021|22 .

Stephane Aziz Ki anaweza kuwa mchezaji wa kwanza wa Young Africans kufunga katika mechi tatu mfululizo za Kariakoo derby kwenye ligi tangu Amissi Tambwe kati ya September 2015 hadi October 2016 .
 

Pet.daudi

Mgeni
Oct 19, 2024
6
2
5
Yanga Lazima ishinde
Kwani hata takwimu za sada ukiwchana na za 1990 huko
Kwa sasq mpira umekua
Ligi Namba 5 kwa ubora Africa mashariki
Kitu ambacho kinafanya tusiahgalie takwimu za zaman
Kwa Sasa yanga ndio timu tishio Zaid ndani ya Tanzania Bara na nje ya Tanzania πŸ˜‚ Hahaha

Mtani eeeee kazi unayooooooo leo
 
  • Like
Reactions: Anthoney

Blyackleon

Mpiga Chabo
Oct 19, 2024
3
0
0
Mpira haubebwi kwa historia....
Mpira ni mchezo wa makosa na mbinu..
Pale unapoteleza ndipo mwenzio anatumia upenyo huo huo kukuadhibu....


Simba vs yanga yeyote anaweza kushinda,kushindwa au kusare
#time will tell
 

Blyackleon

Mpiga Chabo
Oct 19, 2024
3
0
0
Yanga Lazima ishinde
Kwani hata takwimu za sada ukiwchana na za 1990 huko
Kwa sasq mpira umekua
Ligi Namba 5 kwa ubora Africa mashariki
Kitu ambacho kinafanya tusiahgalie takwimu za zaman
Kwa Sasa yanga ndio timu tishio Zaid ndani ya Tanzania Bara na nje ya Tanzania πŸ˜‚ Hahaha

Mtani eeeee kazi unayooooooo leo
Tishio zaidi....hahahahahaayaaaaa
 

Saidy

Mgeni
Jun 5, 2024
107
21
5
 

jofrey hamza

Mpiga Chabo
Oct 19, 2024
2
0
0
πš‚π™Έπ™Όπ™±π™° πš‚π™² πŸ†š πšˆπ™Ύπš„π™½π™Ά π™°π™΅πšπ™Έπ™²π™°π™½πš‚

Simba Sports Club hawajashindwa kufunga bao katika michezo yao 58 iliyopita katika ligi, mara ya mwisho walishindwa kufanya hivyo kwenye mchezo waliopoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Azam FC mnamo 27 October 2022 .

Simba Sports Club wameshinda mechi moja pekee kati ya 10 za mwisho za ligi dhidi ya Young Africans, wamefungwa nne na kutoka sare tano. Mechi pekee waliyoshinda ni ile ya 2-0 mnamo April 2023 katika mzunguko wa 23 wa NBC Premier League .

Simba Sports Club walipiga pasi 600 katika mchezo wao uliopita wa ligi dhidi ya Coastal Union, idadi kubwa zaidi ya timu yoyote kwenye mechi moja ya NBC Premier League msimu huu .

Ahoua Charles ndiye mchezaji wa kwanza kutoa assists nne katika mechi tano za ufunguzi wa kampeni ya NBC Premier League tangu LuΓ­s Miquissone msimu wa 2020|21 .

_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠__⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠__⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠__⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠___⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_⁠_

Young Africans hawajashindwa kupata ushindi katika mchezo wowote wa ligi tangu mwezi April mwaka huu kwenye mechi iliyomalizika kwa sare ya 0-0 dhidi ya JKT Tanzania. Wamecheza mechi 11 tangu kipindi hicho na kushinda zote .

Mara ya mwisho kwa Young Africans kushinda mechi 12 mfululizo katika ligi ilikuwa kati ya December 2022 hadi April 2023 na walipoteza mchezo wao wa 13 kwa kufungwa 2-0 na Simba SC .

Young Africans wamefunga mabao 17 katika kipindi cha pili kwenye mashindano yote msimu huu, sawa na asilimia 56% ya mabao yote 30 .

Young Africans wanaweza kushinda kila moja ya mechi zao tano za ufunguzi wa msimu wa ligi kuu Tanzania bara kwa mara ya tatu katika misimu 10 ya hivi karibuni, baada ya kufanya hivyo pia 2015|16 na 2021|22 .

Stephane Aziz Ki anaweza kuwa mchezaji wa kwanza wa Young Africans kufunga katika mechi tatu mfululizo za Kariakoo derby kwenye ligi tangu Amissi Tambwe kati ya September 2015 hadi October 2016 .
Simba bingwa 🦁 🦁 🦁 🦁 βœ