Simba wakimpa Thank you CHAMA ndo nitaamini wako Serious na Mabadiliko

Hammy36

Administrator
Jan 17, 2023
56
54
5
Dar Es Salaam
Hizi kelele za Thank You ni kama zimemponya Mangungu,Vipi ndugu zangu tuwape muda au bado libeneke liko palepale?


Ngoja kwanza nicheke kikatuni Teh teh teh teh teh teh teh!


Huyu mchezaji huwa anadhihakiwa sana na mashabiki kwamba kachoka na anaichomesha timu kwenye mechi muhimu!,Sasa nitashangaa kama asipopewa Thank you maana akiachwa sasa hivi baadae ikitokea akaharibu namuhurumia Mangungu atakavyosakamwa na wakaa vij
iweni!
 

Jr 097

Mgeni
Jun 21, 2024
10
3
5
Si sahihi Chama na Saido kuwaacha pamoja.....

Kama SAIDO kaondoka bhas Chama abaki, usajili n kamari kuna kuleta mchezaj mzur na akafel mfano mzur ata nje ya bongo n watu kama Coutinho, Hazard hawa watu walkuwa balaa lkn walipohama t walifeli

CHAMA kuondoka haitakuwa sahihi na wakimuacha hawatokuwa serious na mabadlko, wamuache awalee na wajao
 
  • Like
Reactions: Kijiweni

27falcon

Mgeni
Jun 21, 2024
1
1
5
sikuzote kijiji lazima kiwe na wazee ko chama ni muhimu wakati wanajenga timu mpya maana msimu ulio isha n yy na kibu ndo walikuwa wako active
 
  • Like
Reactions: Kijiweni

Lenin Vlad

Mpiga Chabo
Jun 20, 2024
3
0
0
Chama acha abaki hata onana anatakiwa kubaki turekebishe viungo akina babakar sarr. Na ngoma pale hamna kazi
 

Mohamed ibrahim

Mpiga Chabo
Jun 19, 2024
3
0
0
Hizi kelele za Thank You ni kama zimemponya Mangungu,Vipi ndugu zangu tuwape muda au bado libeneke liko palepale?


Ngoja kwanza nicheke kikatuni Teh teh teh teh teh teh teh!


Huyu mchezaji huwa anadhihakiwa sana na mashabiki kwamba kachoka na anaichomesha timu kwenye mechi muhimu!,Sasa nitashangaa kama asipopewa Thank you maana akiachwa sasa hivi baadae ikitokea akaharibu namuhurumia Mangungu atakavyosakamwa na wakaa vij
iweni!
Chama asepe tu km kasepa saido Chama yes ndo Nani km alitaka kubakia simba

Kipindi tunapambania nafasi ya pili ye alikuwa wapi si kwao je tushajiuliza ni kwann mchezaji muhimu ambae anauchungu na team yake kuibakisha club bingwa why aende kwao atuachie team yetu kwa kuisusa ye Kaenda kula raga kwao si tunavuja jasho kwa shida kupambania nafasi ya 2 napo tumeikosa kwa uzembe wake wa kututoa mchezoni
 

Kagulyati

Mgeni
Jun 22, 2024
9
3
5
Hizi kelele za Thank You ni kama zimemponya Mangungu,Vipi ndugu zangu tuwape muda au bado libeneke liko palepale?


Ngoja kwanza nicheke kikatuni Teh teh teh teh teh teh teh!


Huyu mchezaji huwa anadhihakiwa sana na mashabiki kwamba kachoka na anaichomesha timu kwenye mechi muhimu!,Sasa nitashangaa kama asipopewa Thank you maana akiachwa sasa hivi baadae ikitokea akaharibu namuhurumia Mangungu atakavyosakamwa na wakaa vij
iweni!
Chama ni mchezaji mwenye skills nyingi2 sana yeye hajachoka ila timu ndo Haina combination nzuri,mm naona chama asipewe thank you aachwe kwenye kikosi Cha lunyasi