Usajili Wa Chama Kwenda Yanga -Yanga Hamueleweki, Sijui Mna Shida Gani!

Hassan Hassano'o

Mpiga Chabo
Jul 1, 2024
1
0
0
Salaam Wakuu..

Nashangazwa na hizi kelele za midundiko na kukata viuno tunazopigiwa na wajuaji wa mitaa ya Twiga na Jangwani pale Kariakoo.

Hawa wanashangilia leo kumsajili Chama, yule yule ambaye miaka yote walikuwa wakituaminisha ni mchezaji wa mechi ndogo.

Ina maana huyu Chawa amegeuka ghafla kuwa mchezaji wa mechi kubwa baada ya kuhamia kwao?

Huyu Chama waliyekuwa wakituambia kila siku hana nguvu, leo amezipata hizo nguvu baada ya kuhamia Jangwani?

Nawashauri mtulie, mjitafakari vizuri mkijiuliza mko sawa kichwani?

Tukutane uwanjani na huyo Chama wenu mpya ili tuone kama atakuwa na nguvu za ghafla, na atgeuka kuwa mchezaji wa mechi kubwa ghafla.
Umeshasahau Saidoo alipokwenda kwa makolo alikua mpya mlimzaa tena cyo bhas chama nae amezaliwa upya ila mama yake simjui
 

Eddy de Jr

Mgeni
May 9, 2024
48
7
5
Chama alijuwa kipindi kile, ila toka aliporudi kutoka RS Berkane hakuwa na la maana sn kwa SSC,,,,tulimpokea kwa sabu ya mazuri alotufanyia. Hata CR7 alikuwa tegrmeo kwa Real Madrid lakini alipoondoka mbona watu walipeta kama kawaida na makombe yakizidi kumiminika.So, kikubwa ni kufocus kwenye usajili in order to reach our goals. Life is a COMPILATION not COMPETITION.
 

Evaristo

Mpiga Chabo
Jun 30, 2024
8
0
0
Chama alijuwa kipindi kile, ila toka aliporudi kutoka RS Berkane hakuwa na la maana sn kwa SSC,,,,tulimpokea kwa sabu ya mazuri alotufanyia. Hata CR7 alikuwa tegrmeo kwa Real Madrid lakini alipoondoka mbona watu walipeta kama kawaida na makombe yakizidi kumiminika.So, kikubwa ni kufocus kwenye usajili in order to reach our goals. Life is a COMPILATION not COMPETITION.
Nyie mjifarij chama alikua fundi angalia kafunga magori mangapi na assist anazo ngap