USAJILI.

mhariri

Mpiga Chabo
Dec 17, 2021
203
0
0
Kwa mujibu wa Di Marzio, Kiungo wa Ac Milan Franck Kessie amefuzu vipimo vya afya alivyofanyiwa huko Italy
๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น
na jopo la madaktari wa Fc Barcelona
๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ

Kiungo huyo atasaini mkataba wa kuitumikia Barca ndani ya siku chache zijazo
Inaweza kuwa picha ya Mtu 1 na maandishi yanayosema '1899 Bit Emirates FLY BETTER'

 

Amir

Mgeni
Dec 10, 2021
736
12
5
tanzania
OFFICIAL: Kiungo wa klabu ya Inter Marcelo Brozovic (29)
๐Ÿ‡ญ๐Ÿ‡ท
ameongeza mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia timu hiyo hadi mwaka 2026
Brozovic atakuwa akipata mshahara wa โ‚ฌ6m (Tsh. 15.3B) kwa mwaka
Inaweza kuwa picha ya Mtu 1 na saa ya mkononi
 

vuligate

Mgeni
Dec 17, 2021
395
3
5
Klabu ya Fc Bayern Munich
๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช
ipo mbioni kulipa kiasi cha โ‚ฌ300k (Tsh. 764m) ili kumsaini mshambuliaji wa Borussia Mรถnchengladbach Mike Wisdom mwenye umri wa miaka 13. Mike atajiunga na Bayern U15


Image
 

mhariri

Mpiga Chabo
Dec 17, 2021
203
0
0
Robert Lewandowski
๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ฑ
(33) anahitaji mkataba wa miaka mitatu na mshahara wa โ‚ฌ8m kwa mwaka ili aweze kujiunga na Fc Barcelona
๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ
ifikapo mwishoni mwa msimu huu.
Imeelezwa kuwa Nyota huyo ambaye mkataba wake na Bayern unamalizika mwakani 2023, amefikia hatua nzuri ya mazungumzo na Wawakilishi wa Barรงa
๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ

Inaweza kuwa picha ya Mtu 1

 

mhariri

Mpiga Chabo
Dec 17, 2021
203
0
0
Klabu ya ManCity ipo tayari kumlipa mshahara wa โ‚ฌ30m ( Tsh Bilioni 75.
๐Ÿ˜Ž
kwa mwaka mshambuliaji wa Dortmund Erling Haaland
๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ด
ili ajiunge nao ifikapo mwishoni mwa msimu huu
๐Ÿ˜ณ

Imeelezwa kuwa Man City pia wamepanga kulipa kiasi cha โ‚ฌ75m (Tsh Bilioni 189.4) kama ada ya uhamisho wake pamoja na โ‚ฌ70 (Tsh Bilioni 176.
๐Ÿ˜Ž
kwaajili ya wakala wake
[via Di Marzio]
278371408_5258227790903795_7335319947148182569_n.jpg
 

Amir

Mgeni
Dec 10, 2021
736
12
5
tanzania

MBAPPE AAMUA KUBAKI PSG HADI 2025​


Mshambuliaji wa Kimataifa wa Ufaransa, Kylian Mbappe amesaini mkataba mpya wa kuendelea na kazi Paris Saint-Germain hadi mwaka 2025.
Pichani, Mbappe akiwa na Rais wa PSG, Nasser Al-Khelaifi kabla ya mechi na Metz.
 

Amir

Mgeni
Dec 10, 2021
736
12
5
tanzania
Liverpool wamemtambulisha mchezaji mpya Calvin Ramsay kutoka Aberdeen kwa usajili wa kudumu.
Beki huyo wa kulia mwenye umri wa miaka 18 ambaye amesaini mkataba wa miaka mitano na Liverpool alikuwa Mchezaji Bora Chipukizi wa Chama cha Waandishi wa Soka cha Scotland 2021-22
287495855_5451066744953231_362758907952340590_n.jpg
 

Amir

Mgeni
Dec 10, 2021
736
12
5
tanzania
Richard Arnold (Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Manchester United):
"Tunafanya kila liwezekanalo ili kumleta De Jong na ninawaambia kwamba pesa zipo kwa ajili yake." "Kama klabu, tunafanya kila linalowezekana ili kufunga dili hilo, pesa zipo lakini kuna vikwazo ambavyo siwezi kuvieleza."
Inaweza kuwa picha ya Mtu 1
 

Amir

Mgeni
Dec 10, 2021
736
12
5
tanzania
OFFICIAL: Mshambuliaji wa klabu ya Arsenal Eddie Nketiah ameongeza mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo hadi mwaka 2027.
Nketiah atavaa jezi namba 14 kuanzia msimu ujao.

287232458_5448250075234898_4754128328995544654_n.jpg
 

Amir

Mgeni
Dec 10, 2021
736
12
5
tanzania
BREAKING | Liverpool na Fc Bayern Munich zimefikia makubaliano juu ya uhamisho wa Sadio Mane
๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ

Nyota huyo atafanyiwa vipimo wiki ijayo pamoja na kusaini mkataba wa miaka mitatu kama mchezaji mpya wa Bayern.
Inaweza kuwa picha ya Mtu 1
 

Mkwavinyika

Administrator
Staff member
Dec 2, 2021
49
9
26
Dar es Salaam

Conte: Nyota Tuliowasajili Januari Hamna Kitu​

Tottenham-Antonio-Conte-F365.jpg

KOCHA Antonio Conte amedai kuwa sera ya usajili ya Tottenham inadhoofisha kikosi, huku akiweka wazi kuwa wachezaji waliowasajili wakati wa dirisha la Januari wamekwenda kukiharibu zaidi kikosi chao badala ya kukiboresha.
Muitaliano huyo amedai kuwa timu yake sasa ina nafasi ya asilimia moja tu kumaliza top 4 katika Premier, Tottenham wanaivaa Man City leo Jumamosi ugenini wakitoka kupoteza mechi tatu mfululizo za Premier.
Katika usajili wa Januari, Spurs waliwaongeza viungo Dejan Kulusevski na Rodrigo Bentancur kutoka Juventus, huku Tanguy Ndombele, Bryan Gil, Dele Alli na Giovani Lo Celso wakiondoka โ€œBadala ya kukiboresha kikosi, tumekidhoofisha,โ€ alisema.
โ€œBentancur na Kulusevski ni wazuri kwa Tottenham siku zijazo, kwa sababu Tottenham wanatafuta wachezaji makinda, wanaweza kukua na kuendelea, siyo wachezaji walio tayari. Hili ni tatizo. Nimegundua sasa kwamba haya ndiyo maono ya klabu.โ€
okay