Wachezaji wa Man United waliopo kwenye Record na waliopanda viwango na waliobakia palepale chini ya ETH mpaka sasa

Nabi

Mgeni
Nov 4, 2022
121
124
5
Marcus Rashford ndiye mchezaji wa kwanza kutoka katika ligi tano bora za Ulaya kufikisha mabao 10 katika michuano yote tangu kumalizika kwa Kombe la Dunia.

MR10. 🔥⚽
D4EA7E90-AD7A-4187-BD10-C85EC893ED36.jpeg
 
  • Like
Reactions: McRay and Lukac

Rashidi

Mgeni
Dec 13, 2022
56
40
5
Marcus, utendaji wake, maendeleo yake. Kuanzia mwanzo wa msimu anakua, na anaendelea kufanya hivyo. Anawajibika kwa hilo, kuendeleza mchakato huu. Kwa roho hii, nadhani hawezi kuzuilika. Halafu inahusu timu kumweka katika nafasi zinazofaa.
 
  • Like
Reactions: Lukac

Lukac

Mgeni
Nov 4, 2022
120
83
5
Hivi huyu wa baada ya kombe la Dunia ni Rashford au ni Ronaldo Delima ?

Atoe kinyago hicho usoni.

Mechi tisa mfululizo kafunga bao !!!
 

Brenda

Mgeni
Oct 31, 2022
489
403
5
Dar es salaam
Tatizo letu tuna wahype sana wachezaji wetu,Elanga sio type ya United,hana uwezo wa United kabisa,waangalie Garnacho na mwenzake Pillister sijui yule,wale madogo ni perfect for United.

Nadhani wachezaji wengi vijana United wakipata number kidogo wanajiona wanajua tayari kumbe club imeangalia potentiality yao
 

Zaka

Mgeni
Dec 13, 2022
43
27
5
Yaaaan ata Dalot tumemsahau kidogo wala hatuwaz now days bisaka anakula mbavu ya kulia nyuma Anapiga saafi kabsa,
Mimi siku hz napenda wachezaj ambao watu wana waundervalue😀😀😀 Mwanangu MALACIA hv hamumuon? Yule dogo ni Atari sana

HT lindelof jana kacheza vizuri sana
 

Azizi

Mgeni
Dec 13, 2022
38
26
5
Alafu kuna huyu
Anthony aache ujinga wa inzi atengeneze asali.
Otherwise atakuwa Memphis mwingine
Mm naonaga kma Anthony inabidi achukue projector akae kwenye chumba mwenyewe aanze kuangalia clip za Saka. Labda atajifunza
 

jamal

Mgeni
Nov 4, 2022
148
90
5
Hiv Antony anashida gani ndugu zangu?

Mim mwenzenu mbona huwa nikimuona tu uwanjani huwa nafurahi kinoma😂
 

McRay

Mgeni
Nov 4, 2022
185
131
5
Yan ata tukifungwa unaiman kabsa Goli linaludi Sio ile united ya zaman yan mkishafungwa tu dadek shuhuli imeisha😃😃😃🙌

Master ETH atatupeleka nchi ya Ahadi Yan mapaka saa hv tupo kweny mashindano yote 4,
Hakuna sehemu hatupo
Na FA tupo Robo final
Bado EPL top 4
Na EUROPA
Carabao final hiyooo
 

sharon

Mgeni
Nov 4, 2022
105
89
5
Antony ni talanted ila akiwa na maamuz ya haraka akiacha na show game bonge moja la winga...


Kuna kipind cha awali Vincious Jr alikuwa hv hv ila akili ilikua akawa anapga kazi za kiume mpaka leo amekua mtu hatari..
 

Lukac

Mgeni
Nov 4, 2022
120
83
5
"Nimefurahishwa na uchezaji na nadhani zaidi ya dakika 90 tuliudhibiti mchezo. Kulikuwa na wakati mmoja ambao ungeweza kubadilisha mchezo na hapo ndipo tunahitaji kuboresha lakini kwa ujumla tuliudhibiti."

🗣️"Walibadilisha mfumo na tukawa kama hatukutarajia hilo. Haiwezi kutokea. Hilo bado ni jambo ambalo tunapaswa kujifunza na kuboresha kama timu ikiwa unataka kuwa juu."

🗣️"Karibia tuwaache waingie kwenye mchezo na hatuwezi kuruhusu mpinzani kurejea mchezoni wakati tulianza vizuri sana. Tulitawala mchezo kabisa lakini ndani ya wakati mmoja inaweza kubadilika. Tunahitaji kuepuka hilo."

🗣️"Ndio lazima tucheze mchezo mmoja [kabla ya fainali]. Tunapaswa kufanya vivyo hivyo, kujiandaa na kupanga mpango mzuri wa mchezo. Wachezaji wanapaswa kuwa makini.

ETH
 

Joan

Mgeni
Dec 13, 2022
24
12
5
Huyu dogo ni lin kocha atampa nafac ya kucheza walau ht dk 15 tuu naona yule mainoo alipewa nafac sijui kwa huyu shida iko wapi
1674828816551.png