Wana-Simba Tunaujua Mchezo Wa Injinia FEKI Wa Kutupoteza Maboya, Tumekushtukia Na Hatujai

Bakari

Mgeni
May 27, 2024
27
31
5
Simba Nguvu Moja!

Tunajua hii sinema ya MAHAKAMA imetengenezwa mahususi kwa ajili ya kuwapoteza maboya timu ya SIMBA ili isi FOCUS na mambo yake muhimu na vile amejua simba ya sasa inaenda ama itaenda kua tishio kubwa sana nchini na afrika, injinia feki na kikundi chake wameamua kuleta propaganda kama walivyoleta prooaganda za aziz ki na kudanganya live kwenye vyombo vya habari kwamba aziz ki hajasaini kumbe ndio michezo na staili yake.

Inahitaji kujitoa akili kuamini Rais wa klabu mwanachama wa TFF ambaye ni mwanachama wa FIFA na CAF anaondolewa madarakani na mahakama ya kiraia.

Wambura alishinda kesi mahakamani na Wallace Karia akamlamba kifungo cha maisha.

Hatuwezi potezwa maboya kiasi hiko. Simba iko makini. Na msimu huu maji mtaita mma. Miaka mitano ubingwa mtausikia chooni.

#UbayaUbwela...

Tukutane uwanjani !
 

Rado

Mgeni
Jul 17, 2024
1
2
5
Simba Nguvu Moja!

Tunajua hii sinema ya MAHAKAMA imetengenezwa mahususi kwa ajili ya kuwapoteza maboya timu ya SIMBA ili isi FOCUS na mambo yake muhimu na vile amejua simba ya sasa inaenda ama itaenda kua tishio kubwa sana nchini na afrika, injinia feki na kikundi chake wameamua kuleta propaganda kama walivyoleta prooaganda za aziz ki na kudanganya live kwenye vyombo vya habari kwamba aziz ki hajasaini kumbe ndio michezo na staili yake.

Inahitaji kujitoa akili kuamini Rais wa klabu mwanachama wa TFF ambaye ni mwanachama wa FIFA na CAF anaondolewa madarakani na mahakama ya kiraia.

Wambura alishinda kesi mahakamani na Wallace Karia akamlamba kifungo cha maisha.

Hatuwezi potezwa maboya kiasi hiko. Simba iko makini. Na msimu huu maji mtaita mma. Miaka mitano ubingwa mtausikia chooni.

#UbayaUbwela...

Tukutane uwanjani !
Ubaya ubwela
 

bchuwa01

Mpiga Chabo
Jul 17, 2024
1
0
0
Hongera Sana Engineer Hersi kwa kuanza soka LA figisu figisu LA nje ya uwanja.. Ila usijali Simba imejifunza kitu kwako na itakushangaza
 

Josie

Mgeni
Jun 24, 2024
7
1
5
Waashen wabwetuke ajuwavyo ila Simba itabaki kuwa Simba na msimu huuu watakomaa. Wao waenderee na propaganda zao hizo hizo