Yupi Ni Beki KATILI Kuwahi Kutokea Ligi Kuu Ya TANZANIA?

Kijiweni

Administrator
Staff member
Nov 7, 2022
254
356
25
Mwana Kijiweni...
Bila shaka kama ni mfuatiliaji wa soka Kuna mabeki kadha wa kadha ambao wamepita kwenye Ligi Kuu ya Tanzania ambao wamekua na Sifa mbalimbali mpaka hivi sasa

Kwako wewe ukipewa nafasi ya Kutoa Tuzo ya Beki Katili zaidi kuwahi kucheza Ligi Kuu ya Tanzania unampa nani Tuzo hiyo?
 

Jr…3

Mpiga Chabo
Jul 10, 2024
4
0
0
Mwana Kijiweni...
Bila shaka kama ni mfuatiliaji wa soka Kuna mabeki kadha wa kadha ambao wamepita kwenye Ligi Kuu ya Tanzania ambao wamekua na Sifa mbalimbali mpaka hivi sasa

Kwako wewe ukipewa nafasi ya Kutoa Tuzo ya Beki Katili zaidi kuwahi kucheza Ligi Kuu ya Tanzania unampa nani Tuzo hiyo?
Cannavaro.
 
Jul 21, 2024
3
0
0
Mwana Kijiweni...
Bila shaka kama ni mfuatiliaji wa soka Kuna mabeki kadha wa kadha ambao wamepita kwenye Ligi Kuu ya Tanzania ambao wamekua na Sifa mbalimbali mpaka hivi sasa

Kwako wewe ukipewa nafasi ya Kutoa Tuzo ya Beki Katili zaidi kuwahi kucheza Ligi Kuu ya Tanzania unampa nani Tuzo hiyo?
namuona Juma Nyoso aisee nikatili kuanzia uwanjani hadi kwenye maamuz hamkumbuki alichomfanyia Boko mpaka akafungiwa na faini juu