SINGA SINGA 🇹🇿 Oct 22, 2024 EB68EC Attachments Screenshot_20241022-095126.png 206.5 KB · Somwa: 8
M M mlopa47 Sep 11, 2024 Kwa sasa tanzania club ya YOUNG AFRICAN ndio timu inayotazamwa zaidi barani afrika.
@ @ @dogomitelezoo Aug 13, 2024 Wana kijiweni mnaendeleaje? Nina swali kidogo=kwanini timu za bongo zinapokezana kila kitu mfano ubingwa,ubora wa timu,ubora wa wachezaji? na timu itakayokuwa vzr sana ndio itwae kila tunzo?? Mambo haya yapo toka muda sana sasa kwanini iwe hivo
Wana kijiweni mnaendeleaje? Nina swali kidogo=kwanini timu za bongo zinapokezana kila kitu mfano ubingwa,ubora wa timu,ubora wa wachezaji? na timu itakayokuwa vzr sana ndio itwae kila tunzo?? Mambo haya yapo toka muda sana sasa kwanini iwe hivo