Estevao
Roque
kama mmoja ata hit zaidi ya Endriks basi Perez atatukana sana moyoni 😂, Uyu Estevao muda tu umemkuta pabaya ila nafikiri next year ikiwezekana tumfunge nae 😀
Nitasimama na wachezaji wangu hadi kufa- Kocha Mkuu wa Uhispania, Luis Enrique.
Enrique aliwatetea wachezaji wake na mtindo wake wa kucheza soka baada ya kuondolewa kwenye Kombe la Dunia la Qatar kwa mikwaju ya penalti katika hatua ya 16 bora dhidi ya Moroccojana (Jumanne).
Uhispania...