Richard Arnold (Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Manchester United):
"Tunafanya kila liwezekanalo ili kumleta De Jong na ninawaambia kwamba pesa zipo kwa ajili yake." "Kama klabu, tunafanya kila linalowezekana ili kufunga dili hilo, pesa zipo lakini kuna vikwazo ambavyo siwezi kuvieleza."