Eeeeee bwana hawa wajomba kuisha ni uongo aiseeee sasa hv wanambinu mbadala wanatumia ila niwashauri tu jaman tusifunguke sana maaana ukute tunao hapa wanatudekea tu ila kwakwel mungu awalaaaani sana walinipiga na kitu kizito mzeee sitokuja sahau mazeee.