MASHABIKI WAMTAJA ALABA KAMA YUDA.
Mashabiki wa Klabu ya Real Madrid wameanzisha kampeni ya Klabu yao kumwondoa Klabuni Mchezaji wao,David Alaba kufuatia Kumpigia Kura Lionel Messi kama Mchezaji Bora namba Moja wa Dunia huku Mchezaji mwenzake wa Real Madrid,Karim Benzema akimweka nafasi ya pili...