Search results

  1. L

    Chelsea inakaribia kukamilisha uteuzi wa Mauricio Pochettino

    Chelsea wanaripotiwa kuwa na imani kwamba wataweza kuthibitisha uteuzi wa Mauricio Pochettino kama kocha mkuu wa klabu hiyo baadaye wiki hii. Jumanne jioni, mkufunzi wa muda Frank Lampard atajaribu kumaliza mfululizo wa kupoteza michezo mitano wakati The Blues watakapomenyana na wapinzani wa...
  2. L

    LaLiga: Wachezaji wawili wa Barcelona wamekataa juhudi za kumrejesha Messi

    Matumaini ya Lionel Messi kurejea Barcelona kuendelea na maisha yake ya soka yamepata pigo kubwa. Hii ilikuwa baada ya wachezaji wawili wa klabu hiyo kukataa kupunguza mishahara yao. Express Sport inaripoti kwamba Franck Kessie na Andreas Christensen walifikiwa na Blaugrana kupunguza mishahara...
  3. L

    Sakata la Fei linazidi kuleta mvurugano

    Siungi mkono hatua anazochukua Fei, maana sio sahihi ana complicate mambo. Ila pia siungi mkono namna ambavyo club imeamu kukaza shingo kwenye hili suala.. Labda kama kuna maslahi ambayo club inategemea kuyapata toka kwa Fei otherwise naona tunapoteza credibility tu kwa kuendelea kusumbua na...
  4. L

    Man United imebadilika sana na inaenda kua tishio sasa

    The Stratford end singing"Frenkie Frenkie whats the score" in the end is total Shit-housery!! Gottal love the english fans😂
  5. L

    Barcelona walicheza mchezo mzuri pamoja na Pedri na Gavi kukosekana pongezi sana kwa ETH

    Barca walicheza mchezo mzuri Hata pamoja na Pedri & Gavi kutokuwepo, timu ilikuwa kinara Iwapo wangepewa penalti katika mechi ya kwanza Barca wangeweza kuwa wanasonga mbele kwa raundi inayofuata sasa. Kazi iliyofanywa vizuri hata hivyo Xavi alithibitisha kuwa ni kocha mzuri Kutamani klabu...
  6. L

    Van Basten: "Namwona Mohammed Kudus ni mchezaji bora wa mpira kuliko Antony.

    Van Basten: Anasema "Namwona Mohammed Kudus ni mchezaji bora wa mpira kuliko Antony. Antony ana ujuzi wake, lakini anachanganya na mambo anayojaribu kufanya. Mohammed Kudus ni wa kiufundi zaidi pia. Huyu ni mtu ambaye unaweza kumweka popote kwa sauti kubwa, yeye ni mtu wa pande zote." Ngoja...
  7. L

    Mnatukwaza snaa mashabiki kuingiza siasa kwenye mpira

    Inatakiwa Kuifahamu Yanga Kabila Ya Kuishabikia Hii Ni Timu Ambayo Huwezi Kuitenganisha Na Ccm Ndiyo Maana Hata Rangi Zao Zinafanana Ccm inatumia Rangi*Aina Tatu Kijani Njano Na Nyeusi Hali Kadhalika Hizo Ndiyo Rangi Rasmi Za Timu Yetu Ya Yanga
  8. L

    Barcelina tulicheza vizuri lakini kocha anatakiwa kuzingatia mechi

    Makosa aliyoyafanya Arsenal kwenye idara ya ulinzi ndiyo leo yamejitokeza kwa barca Hivi kweli unamtoa Raphina unamuingiza Ferran kweli mbona kama hili ni boko nadhan Kila mtu kashangaa kwenye hili Makipa wote wamefanya kazi kweli kweli kila mmoja anahitaji pongezi Rashford yupo shap sana Kuumia...
  9. L

    Football na Sayans Football ni Sayansi

    Ebwana upo sahihi kwenye kuruka man utd labda licha pale nyuma Ila kwel Barca walipoteaana mpk wakawa wanamwaga majalo tu
  10. L

    Hii Game ilishaisha kabisa Uzembe wetu na utoto mwingi

    Barcelona na Man U ni tim ziliyumba kidogo misim iliyopita but kwa mchezo wa jana nilivyoona wote wako fiti na wataendelea kuwa bora zaidi,mtazamo wangu!!
  11. L

    Jack Grealish na Erling Haaland walifungia Manchester City ushindi wa 3-1 dhidi ya Arsenal

    Ukuta wa arsenal ulikuwa dhaifu maana wazuiaji wao hawakuwa na speed na maamuzi ya haraka kama guardiola angefanya sub ya foden na alvarez wote wangeingia mapema basi leo tungekuwa tunaongelea goli tano na kuendela City walikuwa wanatakiwa wawe wa mtu mwenye speed tu mbele mana loose balls...
  12. L

    Us Monastir walichokifanya wameamua kumuachia Yanga Mpira au cheze wao wamejisemea kuwa tunataka point 3 muhimu nyumbani

    kisinda ,moloko, Morrison,mikataba Yao ikiisha waachwe aise 😢😢😢 beki mrefu anahitajika , mayele,aucho,faridi ,kibwana waongeze jitihada ili wawe na ufanisi uwanjani waboreshe uwezo wa kutumia nafasi wanazo pata on time , well done diara,job,Aziz ki. Kocha ni mzuri sana ila Kuna mda anachanga...
  13. L

    Ten Hag ametupa matokeo ambayo tuliyakatia tamaa

    Mechi iliisha kwenye sub ya Butcher kwa Malacia akili kubwa sana kuongeza ufanisi wa pass ,akiamini uwezo mzuri wa Shaw kupiga pass na cross pia tofauti na malacia anaekupa kwenye kuzuia tu, kuna namna sabitzer kwenye kuanza mpira alikua anatokea eneo la Bissaka na B anaingia kweny eneo la Sab...
  14. L

    Arsenal tokea mzunguko wa Pili uanze wamekuwa na mpira mzuri Ila matokeo mabaya

    Arsenal nikama walilizika na kujua watapata bao mdaa wowote maana walikua mdaa mwingi kwenye goal la Brentford ni utulivu tu ambao hawakua nao na hata ukiangalia bao tu la Brentford ilikua vurugu nyingi ila bado arsenal ni timu ambayo ni ngumu sana kuondoka na point zote naamini kwa mpira wa man...
  15. L

    Simba haikuwa na shida na Kocha shida ya Simba ilikuwa na kiungo mkabaji

    Hakuna nnachowadai wachezaji, sema nini walishindwa kumuamishia Bocco goli awe anafungia kule anakotaka yeye🥺🥺🥺, Manula alikua na siku njema kazini baada ya kuponzwa na mabeki wake. Sema Chama kadri umri unevyoenda ndivyo anakuwa hatarishi zaidi....well done boys...safari haijaisha hiii maiti...
  16. L

    Man United dhidi ya Leeds United Rashford, Sancho kurejea pointi na kuwaokoa Red Devils wakiwa nyumbani

    Kama MANC hatanyanganywa points za jasho lake, ndiye bingwa. Akinyang'anywa, basi AssAnal Gunners wanatawadhwa Mabingwa wapya wenye kelele