Arsenal tokea mzunguko wa Pili uanze wamekuwa na mpira mzuri Ila matokeo mabaya hata hii game ya leo unaona kabisa Arsenal anapata goli na kushindwa kuzuia asifungwe
Japo lazima tumpongeze Sana mpinzani wake aliweza kucheza na kukabia chini kabisa akamruhusu Arsenal acheze Ila akamtafuta kwa kushtukiza na Brentford wao ndiyo wamekosa magoli ya wazi wazi kabisa Arsenal aliishika mechi Ila Safi yake ya ushambuliaji haikuwa sawa kabisa waliweza kuzuiwa vema na wapinzani wao
Pia amebakiwa na mechi ngumu mbele ambazo akipoteza na ku draw namna hii atamfanya man City aone ananafasi ya kumpiku nafasi ya juu

Japo lazima tumpongeze Sana mpinzani wake aliweza kucheza na kukabia chini kabisa akamruhusu Arsenal acheze Ila akamtafuta kwa kushtukiza na Brentford wao ndiyo wamekosa magoli ya wazi wazi kabisa Arsenal aliishika mechi Ila Safi yake ya ushambuliaji haikuwa sawa kabisa waliweza kuzuiwa vema na wapinzani wao
Pia amebakiwa na mechi ngumu mbele ambazo akipoteza na ku draw namna hii atamfanya man City aone ananafasi ya kumpiku nafasi ya juu
