De gea atakubali kushusha Mshahara

Mgunda Zone

Mgeni
Nov 4, 2022
83
88
5
Hichi ndicho wanacho pambania sasaivi De gea kushusha mshahara wake inawezekana? ni mtihani sana kwakweli

Tony Coton alisema "Skauti Mkuu wa United amekua akisafiri uko ulaya kote kuangalia chaguo la kwanza kwa David de Dea ambaye yuko kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba kwa masharti yakupungiziwa Mshahara wake."

Na kocha Erik Ten Hag ameiambia klabu kuwa hataki suluhu la bei nafuu ambalo litapunguza tu bajeti yake ya matumizi katika nyadhifa nyingine. Ndio maana Dubravka aliajiriwa kama mchezaji wa mkopo, na nafasi yake ikachukuliwa na kipa mwingine aliyeazima wakati huu, Jack Butland.

1673610435354.png
 

Bangala

Mgeni
Dec 13, 2022
39
24
5
Hichi ndicho wanacho pambania sasaivi De gea kushusha mshahara wake inawezekana? ni mtihani sana kwakweli

Tony Coton alisema "Skauti Mkuu wa United amekua akisafiri uko ulaya kote kuangalia chaguo la kwanza kwa David de Dea ambaye yuko kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba kwa masharti yakupungiziwa Mshahara wake."

Na kocha Erik Ten Hag ameiambia klabu kuwa hataki suluhu la bei nafuu ambalo litapunguza tu bajeti yake ya matumizi katika nyadhifa nyingine. Ndio maana Dubravka aliajiriwa kama mchezaji wa mkopo, na nafasi yake ikachukuliwa na kipa mwingine aliyeazima wakati huu, Jack Butland.

View attachment 1034
Hii ni sehemu ya bongo ila naachoona hili swala ni ligumu sana de gea kawa mzuri sana saivi
 

Nabi

Mgeni
Nov 4, 2022
121
124
5
Hichi ndicho wanacho pambania sasaivi De gea kushusha mshahara wake inawezekana? ni mtihani sana kwakweli

Tony Coton alisema "Skauti Mkuu wa United amekua akisafiri uko ulaya kote kuangalia chaguo la kwanza kwa David de Dea ambaye yuko kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba kwa masharti yakupungiziwa Mshahara wake."

Na kocha Erik Ten Hag ameiambia klabu kuwa hataki suluhu la bei nafuu ambalo litapunguza tu bajeti yake ya matumizi katika nyadhifa nyingine. Ndio maana Dubravka aliajiriwa kama mchezaji wa mkopo, na nafasi yake ikachukuliwa na kipa mwingine aliyeazima wakati huu, Jack Butland.

View attachment 1034
Wakifanikiwa kushusha mshahara wakambakiza akawa no.2 nitawapongeza.
 

Lukac

Mgeni
Nov 4, 2022
120
83
5
Hichi ndicho wanacho pambania sasaivi De gea kushusha mshahara wake inawezekana? ni mtihani sana kwakweli

Tony Coton alisema "Skauti Mkuu wa United amekua akisafiri uko ulaya kote kuangalia chaguo la kwanza kwa David de Dea ambaye yuko kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba kwa masharti yakupungiziwa Mshahara wake."

Na kocha Erik Ten Hag ameiambia klabu kuwa hataki suluhu la bei nafuu ambalo litapunguza tu bajeti yake ya matumizi katika nyadhifa nyingine. Ndio maana Dubravka aliajiriwa kama mchezaji wa mkopo, na nafasi yake ikachukuliwa na kipa mwingine aliyeazima wakati huu, Jack Butland.

View attachment 1034
kwa kiwango cha De gea hawezi wekwa no2
 

Zawadi

Mgeni
Nov 4, 2022
41
17
5
Hichi ndicho wanacho pambania sasaivi De gea kushusha mshahara wake inawezekana? ni mtihani sana kwakweli

Tony Coton alisema "Skauti Mkuu wa United amekua akisafiri uko ulaya kote kuangalia chaguo la kwanza kwa David de Dea ambaye yuko kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba kwa masharti yakupungiziwa Mshahara wake."

Na kocha Erik Ten Hag ameiambia klabu kuwa hataki suluhu la bei nafuu ambalo litapunguza tu bajeti yake ya matumizi katika nyadhifa nyingine. Ndio maana Dubravka aliajiriwa kama mchezaji wa mkopo, na nafasi yake ikachukuliwa na kipa mwingine aliyeazima wakati huu, Jack Butland.

View attachment 1034
Kumshusha maan anaeza rudi namba 2 na ni ngumu sana kumuweka De gea namb 2
 

Zaka

Mgeni
Dec 13, 2022
43
27
5
Hichi ndicho wanacho pambania sasaivi De gea kushusha mshahara wake inawezekana? ni mtihani sana kwakweli

Tony Coton alisema "Skauti Mkuu wa United amekua akisafiri uko ulaya kote kuangalia chaguo la kwanza kwa David de Dea ambaye yuko kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba kwa masharti yakupungiziwa Mshahara wake."

Na kocha Erik Ten Hag ameiambia klabu kuwa hataki suluhu la bei nafuu ambalo litapunguza tu bajeti yake ya matumizi katika nyadhifa nyingine. Ndio maana Dubravka aliajiriwa kama mchezaji wa mkopo, na nafasi yake ikachukuliwa na kipa mwingine aliyeazima wakati huu, Jack Butland.

View attachment 1034
Haiwezekani ila inawezekana
 

McRay

Mgeni
Nov 4, 2022
185
131
5
Hichi ndicho wanacho pambania sasaivi De gea kushusha mshahara wake inawezekana? ni mtihani sana kwakweli

Tony Coton alisema "Skauti Mkuu wa United amekua akisafiri uko ulaya kote kuangalia chaguo la kwanza kwa David de Dea ambaye yuko kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba kwa masharti yakupungiziwa Mshahara wake."

Na kocha Erik Ten Hag ameiambia klabu kuwa hataki suluhu la bei nafuu ambalo litapunguza tu bajeti yake ya matumizi katika nyadhifa nyingine. Ndio maana Dubravka aliajiriwa kama mchezaji wa mkopo, na nafasi yake ikachukuliwa na kipa mwingine aliyeazima wakati huu, Jack Butland.

View attachment 1034
naona ni sawa De gea akabaki namba moja kwsasa amejitoa sana kwenye timu ndiye kipa namba 2 Epl anaeongoza kwa Clean sheet