Ni ya kawaida saaaaaana na wakifanya masihara nafasi ya 6 inawahusu mwisho wa msimuMchezo wa Ligi Kuu Ya NBC kati ya Kagera Sugar dhidi ya Yanga umemalizika Kwa WANANCHI kuondoka na Ushindi wa bao 2 Kwa 0 lililofungwa na Maxi Nzengeli pamoja na Clement Mzize
Mwananchi Wa Kijiweni Umeionaje Yanga ya NBC Premier League?
Hakuna penati pale mkuuVipi kuusu penati waliyo nyimwa Kagera
Ila mkijileta kichwa kichwa tipu ili goli. 10. IziNi ya kawaida saaaaaana na wakifanya masihara nafasi ya 6 inawahusu mwisho wa msimu
Mbona goli la max vs makolo sio goli VAR imetafsili mda huuMakosa ya kibinadamu yameanza
Fanya yooooote ila mwisho wa siku tunaangalia mshindi ni nani? Ivo hamnaga tuzo ya kukaba sana ila kuna tuzo ya ufungaji bora Mzize huyo Mzize huyo kampa Zengeli kaitaka tenaaaa hahahah ivi Yanga anafungwaje? Anafungwaje?////