Simba wanacheza vizur ila Kuna vitu wanapaswa kuongezaMchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Namungo dhidi ya Simba umemalizika katika uwanja wa Majaliwa kwa wekundu wa Msimbazi kuondoka na alama 3 muhimu ugenini na Magoli 3
WAFUNGAJI:
Ahoua
Mukwala
Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwana Kijiweni?
Jaman akuna ushindani pale kwann tff wasifanye uchunguzi wa malefa wanao chezesha mechi za Simba mbona matukio Yana jiludia kila mchezoMchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Namungo dhidi ya Simba umemalizika katika uwanja wa Majaliwa kwa wekundu wa Msimbazi kuondoka na alama 3 muhimu ugenini na Magoli 3
WAFUNGAJI:
Ahoua
Mukwala
Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwana Kijiweni?
kabisa tena wamebebwa na kubembelezwaWamebebw haoooo
Ukweli match yaleo ilikuwa yakuvutia na ilikuwa ime sheheni matukio matamuMchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Namungo dhidi ya Simba umemalizika katika uwanja wa Majaliwa kwa wekundu wa Msimbazi kuondoka na alama 3 muhimu ugenini na Magoli 3
WAFUNGAJI:
Ahoua
Mukwala
Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwana Kijiweni?
Mchezo ulikuwa wakuvutia na ulikuwa ume sheheni matukio matamuMchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Namungo dhidi ya Simba umemalizika katika uwanja wa Majaliwa kwa wekundu wa Msimbazi kuondoka na alama 3 muhimu ugenini na Magoli 3
WAFUNGAJI:
Ahoua
Mukwala
Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwana Kijiweni?
Inahuzunisha Sana kuuona timu ndgo inafanyiwa fitina kama hizi tunapoteza ubora WA login Kwa uchezeshaji kama huuMchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Namungo dhidi ya Simba umemalizika katika uwanja wa Majaliwa kwa wekundu wa Msimbazi kuondoka na alama 3 muhimu ugenini na Magoli 3
WAFUNGAJI:
Ahoua
Mukwala
Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwana Kijiweni?
Mpira umeujulia wapiInahuzunisha Sana kuuona timu ndgo inafanyiwa fitina kama hizi tunapoteza ubora WA login Kwa uchezeshaji kama huu
Ulikuwa mnzuri ingawa matukio mengi sana but well done kwa refa kafanya kadri ya uwezo wake three penalties well assessed ila ile cardMchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Namungo dhidi ya Simba umemalizika katika uwanja wa Majaliwa kwa wekundu wa Msimbazi kuondoka na alama 3 muhimu ugenini na Magoli 3
WAFUNGAJI:
Ahoua
Mukwala
Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwana Kijiweni?
Mzuli lakin lefa ndo kazingua jamanMchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Namungo dhidi ya Simba umemalizika katika uwanja wa Majaliwa kwa wekundu wa Msimbazi kuondoka na alama 3 muhimu ugenini na Magoli 3
WAFUNGAJI:
Ahoua
Mukwala
Umeuonaje Mchezo Wa Leo Mwana Kijiweni?
Mchezo mpk unatia hasra kuutazams bhnwamebebwa na kubembelezwa