FT: Simba SC 3 Al Ahli Tripoli 1 | Umeuonaje Mchezo Huu? Una Lipi la Kuzungumza Kuelekea Makundi ?

Kijiweni

Administrator
Staff member
Nov 7, 2022
344
473
25
Klabu ya soka ya Simba imefanikiwa kufuzu hatua ya makundi Kombe la Shirikikisho Afrika Baada ya kumtoa Al Ahli Tripoli Kwa jumla ya mabao 3 Kwa 1 huku Magoli ya Simba yakifungwa na Kibu,Ateba na Balua huku la Ahli Tripoli likifungwa na Mabululu

Umeuonaje Mchezo huu? Una Lipi la Kuzungumza kuelekea Makundi ?
 

joyx son

Mpiga Chabo
Sep 22, 2024
3
0
0
Klabu ya soka ya Simba imefanikiwa kufuzu hatua ya makundi Kombe la Shirikikisho Afrika Baada ya kumtoa Al Ahli Tripoli Kwa jumla ya mabao 3 Kwa 1 huku Magoli ya Simba yakifungwa na Kibu,Ateba na Balua huku la Ahli Tripoli likifungwa na Mabululu

Umeuonaje Mchezo huu? Una Lipi la Kuzungumza kuelekea Makundi ?
 

papy_calpto

Mpiga Chabo
Sep 3, 2024
2
0
0
Klabu ya soka ya Simba imefanikiwa kufuzu hatua ya makundi Kombe la Shirikikisho Afrika Baada ya kumtoa Al Ahli Tripoli Kwa jumla ya mabao 3 Kwa 1 huku Magoli ya Simba yakifungwa na Kibu,Ateba na Balua huku la Ahli Tripoli likifungwa na Mabululu

Umeuonaje Mchezo huu? Una Lipi la Kuzungumza kuelekea Makundi ?iyo inaitwa dog style si walifuta lile la atebaa sasa πŸ˜‚ πŸ™Œ
 

Chriss04

Mpiga Chabo
Sep 22, 2024
1
0
0
Tofauti ya simba na yanga imeonekana
Simba akifunga goli la tatu anavua shati
Yanga mpaka goli la tano wanakimbilia mpira kuweka kati
 

Mr. nobody

Mpiga Chabo
Sep 22, 2024
1
0
0
Klabu ya soka ya Simba imefanikiwa kufuzu hatua ya makundi Kombe la Shirikikisho Afrika Baada ya kumtoa Al Ahli Tripoli Kwa jumla ya mabao 3 Kwa 1 huku Magoli ya Simba yakifungwa na Kibu,Ateba na Balua huku la Ahli Tripoli likifungwa na Mabululu

Umeuonaje Mchezo huu? Una Lipi la Kuzungumza kuelekea Makundi ?
Tunamshukuru mungu kwa matokea tuliopata leo want simba cha muhimu ni wachezaji kuongea jitiada na tunawapongeza wote kwa pamoja
 

liam lamogiy

Mgeni
Sep 22, 2024
2
1
5
Kuna yule jamaa alicheza rafu mbayaa sana lkn refa akameza filimbi embu nisaidieni wanakijiwe ile ilitakiwa iwe red card au yellow card
 

Eddy de Jr

Mgeni
May 9, 2024
67
10
5
Kiujumla refa aliharibu lash’s ya mchezo. Katunyima goli la wazi kbs la Ateba, Prnalti na rafu mbaya alochezewa mchezaji wa Simba SC but mnyama kaonesha ukomavu wake na kuprove wrong kila mtu. Bravo πŸ¦πŸ¦πŸ‘πŸ‘πŸ‘β€οΈβ€οΈ
 

MashobeJr

Mpiga Chabo
Jun 21, 2024
4
0
0
Kiujumla refa aliharibu lash’s ya mchezo. Katunyima goli la wazi kbs la Ateba, Prnalti na rafu mbaya alochezewa mchezaji wa Simba SC but mnyama kaonesha ukomavu wake na kuprove wrong kila mtu. Bravo πŸ¦πŸ¦πŸ‘πŸ‘πŸ‘β€οΈβ€οΈ
Kabisa ile rafu aliyochezewa Debra Fernandes ilikuwa inastahil red card