Yanga shida hawaijui ila mda ukifka watajua tu,, maana chama saiv ni kijin watakuwa wanashida kamoja mwishowe sare zitamalaki, kwan sisi siilkuwaga hivi hiv akawa anatuponza miaka yote mitatu

kuna jambo lonakuja, masitaa wote hao kimoja tu haya niko paleee ngojen tu, wasiposhtuka mapema nkamzozo itakuwa


