FT : Yanga SC 2 JKT Tanzania 0 | Mwananchi Wa Kijiweni Umeuonaje Mchezo Wa Leo?

Kijiweni

Administrator
Staff member
Nov 7, 2022
352
482
25
Mchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Yanga dhidi ya JKT Tanzania umemalizika Kwa WANANCHI kuondoka na Ushindi wa bao 2 Kwa 0 yakifungwa na Pacome Zouzoua pamoja na Clatous Chota Chama

Mwananchi Wa Kijiweni Umeuonaje Mchezo Wa Leo?