We acha tu msubili MPANZUMoja ya derby mbaya kuwah kuona uenda maji yamechangia![]()
Mpila umetokaTushasema yanga isipokufunga
Utajifungaaaaa
Mtaniii eeeeeeeeee
Badoooooo Sanaaaaaforever
HahahahaAdimi sisi tumefungwa 2mekubali bx tutumie pumnzi ya mwisho 2punguze mawazo 2
Sawa kabisa imeisha hiyo!Bahati haikua Kwa Simba na ilikua siku mbaya kazini Kwa kijili.......anyway hongereni wananchi but Simba wako vzr this time