Je, Baleke Aliihujumu Simba? Wachezaji Wa KiCongo Siyo Waaminifu

Mshua

Mgeni
May 27, 2024
34
24
5
Ukiangalia "efficiency" ya Jean Baleke alipoingia Simba kwa maana ya matumizi sahihi ya nafasi za kufunga magoli, utakubaliana na mimi kuwa jamaa alikuwa suluhisho la matatizo ya ufungaji yaliyokuwa yanaikabili Simba. Jamaa alipokuja alikuwa anafunga magoli magumu sana bila kutumia nguvu. Alionekana ni striker wa asili aliyezaliwa kufunga magoli.

Tulipokuwa tunamlinganisha na Fiston Mayele, wengine tulikiri kuwa Baleke alikosa uwezo wa kukokota mpira au kumkimbiza beki mmoja au wawili na kufunga kama alivyokuwa anafanya Mayele mara kadhaa. Msimu wake wa kwanza ulipoisha, Baleke alionekana kama aliyafanyia kazi mapungufu yake hayo, msimu wa pili alionekana akijaribu kukokota mipira au kupiga chenga mbili tatu ila sina kumbukumbu ya goli lolote alilofunga la namna hiyo.

Tuyaache hayo. Kilichobadilika kikubwa ni uwezo kupungua sana wa Baleke kutumia nafasi alizokuwa anapata tofauti na kipindi alipokuja. Baleke pia hakuonyesha kama jambo hilo lilikuwa linamuumiza. Mshambuliaji wa asili hawezi kukubaliana na nafasi zile alizokuwa anakosa. Baleke alipitia kipindi kirefu cha ukame hadi ikatushtua tukaona bora atupishe. Leo hii anahusishwa na kujiunga na Yanga. Hili linafikirisha sana.

Kina Juma Shaaban na Bangala walihusishwa na kuihujumu Yanga katika derby na walipoachwa kuna watu walitegemea Simba wamchukue walau Bangala kutibu tatizo sugu lililokuwa linaikabili timu ila hawakumchukua hata mmoja wao na mimi nilielewa kwa nini Simba ilisita kufanya hivyo maana ingethibitisha zile fununu za hujuma.

Kaondoka Inonga ambaye ni mmoja wa wachezaji ambao walichangia Simba kutofanya vizuri awamu ya pili ya msimu ulioisha. Inonga alibadilika mbele ya macho yetu na makosa yake yaliyoigharimu sana Simba hakuonekana kuyajutia.

Hao ndiyo wakongoman.
 
  • Like
Reactions: MR. VIP

Denis lee

Mpiga Chabo
Jul 13, 2024
1
0
0
Kiukwel tunaweza tukawa na majibu mawili kama jean baleke kaihujumu simba au laa ila kiuhalisia ni maisha ya kisoka yalivyo tiki refer matande yake kwenye dabi anamkataza kibu D asishangilie pamoja na maneno yake alio yatoa alivokua anahojiwa kuhusu kufungwa na yanga goli 5 ni kama ashaelewaa mpira wa tz n siasa na yeye kaamua kuenda sehemu yenye mkono mkubwa Kwa Sasa
 
May 22, 2024
6
2
5
Mi naona ni maisha ambayo yamezoeleka kwa Wachezaji wengi hapa tz hasa wakongomani
Kwa sababu ni wale wale ukiachana na jean baleke lakin piah fiston Baada ya kuondoka Yanga na mwaka huu kufanyiwa mahojiano na Azam tv Alisema ujinga sana hivyo hivyo Kwa baleke 🤔 lakini kwa player aliyekamilika hawez kuzungumza kitu Cha hovyo namna Ile
But Wacongoman washalijua soka la tz ni siasa tu😂😂🙌
 

Mwinyi cholobi

Mpiga Chabo
Jul 13, 2024
5
0
0
Ukiangalia "efficiency" ya Jean Baleke alipoingia Simba kwa maana ya matumizi sahihi ya nafasi za kufunga magoli, utakubaliana na mimi kuwa jamaa alikuwa suluhisho la matatizo ya ufungaji yaliyokuwa yanaikabili Simba. Jamaa alipokuja alikuwa anafunga magoli magumu sana bila kutumia nguvu. Alionekana ni striker wa asili aliyezaliwa kufunga magoli.

Tulipokuwa tunamlinganisha na Fiston Mayele, wengine tulikiri kuwa Baleke alikosa uwezo wa kukokota mpira au kumkimbiza beki mmoja au wawili na kufunga kama alivyokuwa anafanya Mayele mara kadhaa. Msimu wake wa kwanza ulipoisha, Baleke alionekana kama aliyafanyia kazi mapungufu yake hayo, msimu wa pili alionekana akijaribu kukokota mipira au kupiga chenga mbili tatu ila sina kumbukumbu ya goli lolote alilofunga la namna hiyo.

Tuyaache hayo. Kilichobadilika kikubwa ni uwezo kupungua sana wa Baleke kutumia nafasi alizokuwa anapata tofauti na kipindi alipokuja. Baleke pia hakuonyesha kama jambo hilo lilikuwa linamuumiza. Mshambuliaji wa asili hawezi kukubaliana na nafasi zile alizokuwa anakosa. Baleke alipitia kipindi kirefu cha ukame hadi ikatushtua tukaona bora atupishe. Leo hii anahusishwa na kujiunga na Yanga. Hili linafikirisha sana.

Kina Juma Shaaban na Bangala walihusishwa na kuihujumu Yanga katika derby na walipoachwa kuna watu walitegemea Simba wamchukue walau Bangala kutibu tatizo sugu lililokuwa linaikabili timu ila hawakumchukua hata mmoja wao na mimi nilielewa kwa nini Simba ilisita kufanya hivyo maana ingethibitisha zile fununu za hujuma.

Kaondoka Inonga ambaye ni mmoja wa wachezaji ambao walichangia Simba kutofanya vizuri awamu ya pili ya msimu ulioisha. Inonga alibadilika mbele ya macho yetu na makosa yake yaliyoigharimu sana Simba hakuonekana kuyajutia.

Hao ndiyo wakongoman.
Hakuna
Ukiangalia "efficiency" ya Jean Baleke alipoingia Simba kwa maana ya matumizi sahihi ya nafasi za kufunga magoli, utakubaliana na mimi kuwa jamaa alikuwa suluhisho la matatizo ya ufungaji yaliyokuwa yanaikabili Simba. Jamaa alipokuja alikuwa anafunga magoli magumu sana bila kutumia nguvu. Alionekana ni striker wa asili aliyezaliwa kufunga magoli.

Tulipokuwa tunamlinganisha na Fiston Mayele, wengine tulikiri kuwa Baleke alikosa uwezo wa kukokota mpira au kumkimbiza beki mmoja au wawili na kufunga kama alivyokuwa anafanya Mayele mara kadhaa. Msimu wake wa kwanza ulipoisha, Baleke alionekana kama aliyafanyia kazi mapungufu yake hayo, msimu wa pili alionekana akijaribu kukokota mipira au kupiga chenga mbili tatu ila sina kumbukumbu ya goli lolote alilofunga la namna hiyo.

Tuyaache hayo. Kilichobadilika kikubwa ni uwezo kupungua sana wa Baleke kutumia nafasi alizokuwa anapata tofauti na kipindi alipokuja. Baleke pia hakuonyesha kama jambo hilo lilikuwa linamuumiza. Mshambuliaji wa asili hawezi kukubaliana na nafasi zile alizokuwa anakosa. Baleke alipitia kipindi kirefu cha ukame hadi ikatushtua tukaona bora atupishe. Leo hii anahusishwa na kujiunga na Yanga. Hili linafikirisha sana.

Kina Juma Shaaban na Bangala walihusishwa na kuihujumu Yanga katika derby na walipoachwa kuna watu walitegemea Simba wamchukue walau Bangala kutibu tatizo sugu lililokuwa linaikabili timu ila hawakumchukua hata mmoja wao na mimi nilielewa kwa nini Simba ilisita kufanya hivyo maana ingethibitisha zile fununu za hujuma.

Kaondoka Inonga ambaye ni mmoja wa wachezaji ambao walichangia Simba kutofanya vizuri awamu ya pili ya msimu ulioisha. Inonga alibadilika mbele ya macho yetu na makosa yake yaliyoigharimu sana Simba hakuonekana kuyajutia.

Hao ndiyo wakongoman.
Mawazo mfifika
 

MR. VIP

Mgeni
May 17, 2024
22
3
5
Ukiangalia "efficiency" ya Jean Baleke alipoingia Simba kwa maana ya matumizi sahihi ya nafasi za kufunga magoli, utakubaliana na mimi kuwa jamaa alikuwa suluhisho la matatizo ya ufungaji yaliyokuwa yanaikabili Simba. Jamaa alipokuja alikuwa anafunga magoli magumu sana bila kutumia nguvu. Alionekana ni striker wa asili aliyezaliwa kufunga magoli.

Tulipokuwa tunamlinganisha na Fiston Mayele, wengine tulikiri kuwa Baleke alikosa uwezo wa kukokota mpira au kumkimbiza beki mmoja au wawili na kufunga kama alivyokuwa anafanya Mayele mara kadhaa. Msimu wake wa kwanza ulipoisha, Baleke alionekana kama aliyafanyia kazi mapungufu yake hayo, msimu wa pili alionekana akijaribu kukokota mipira au kupiga chenga mbili tatu ila sina kumbukumbu ya goli lolote alilofunga la namna hiyo.

Tuyaache hayo. Kilichobadilika kikubwa ni uwezo kupungua sana wa Baleke kutumia nafasi alizokuwa anapata tofauti na kipindi alipokuja. Baleke pia hakuonyesha kama jambo hilo lilikuwa linamuumiza. Mshambuliaji wa asili hawezi kukubaliana na nafasi zile alizokuwa anakosa. Baleke alipitia kipindi kirefu cha ukame hadi ikatushtua tukaona bora atupishe. Leo hii anahusishwa na kujiunga na Yanga. Hili linafikirisha sana.

Kina Juma Shaaban na Bangala walihusishwa na kuihujumu Yanga katika derby na walipoachwa kuna watu walitegemea Simba wamchukue walau Bangala kutibu tatizo sugu lililokuwa linaikabili timu ila hawakumchukua hata mmoja wao na mimi nilielewa kwa nini Simba ilisita kufanya hivyo maana ingethibitisha zile fununu za hujuma.

Kaondoka Inonga ambaye ni mmoja wa wachezaji ambao walichangia Simba kutofanya vizuri awamu ya pili ya msimu ulioisha. Inonga alibadilika mbele ya macho yetu na makosa yake yaliyoigharimu sana Simba hakuonekana kuyajutia.

Hao ndiyo wakongoman.
Bhatu bha mkorogo sio wa kuwaamini kabisa.
 

Chucha45

Mgeni
Jul 14, 2024
1
1
5
Mchezaji kushuka na kupanda kiwango nisehemu yamaisha yakimpira,
Tukirudi kwa Simba msimu uliopita,wachezaji kushuka viwango kulitokana na msuguano uliokuwapo ndani ya Timu iliyopelekea utulivu kwa wachezaji na bench laufundi kukosa morali ya utendaji kazi
 
  • Like
Reactions: Kadzo_lass

Fred

Mpiga Chabo
Jun 3, 2024
8
0
0
Usimba na uyanga upo had ndan ya simba na yanga cha muhimu kula vizr na jiran ile asivuruge sana hata kama ni mnafik
 

Kadzo_lass

Mgeni
Jul 1, 2024
8
3
5
Kitubwanasimba wanasahau ni kuwa huwezi expect mcgezaji akupe good performance ikiwa timu na management zima zinasuasua kocha wamebadilishiwa mara tatu alafu unategemea mchezaji akupe best performance we umeona wapi wasilaumu wachezaji bali walaumu uongozi wa Simba kwani uongozi usipokuwa imara wacgezaji hawawezi kukupa good performance kamwe