Kauli Ya Mwigulu Wakati wa Uwasilishaji Wa Bajeti Mmeipikeaje Wana KIJIWENI?

Ven Ghost👻

Mpiga Chabo
Jun 13, 2024
1
1
0
Huyu sasa ndo ZERO BRAIN yani mmh!! Jaman watanzania Tuangaliage tunawapa kura viongozi wa aina gani, For sure ipo siku tutakuja kuhaibika Nyiee!!🤔
 
  • Like
Reactions: Kijiweni

Gift gervas

Mgeni
Jun 1, 2024
2
1
5
😃😃😃huu mwaka mpk wanasimba wajinyonge,tushaanza kuwaona watakao jinyonga kweny comment,na round hii,mwanasimba ukijinyonga picha yko tunaiweka kwenye mabango ya yanga chini tunaweka agg 7-2....😃😃😃😃😃#@LITAKUFAJITU
 
  • Like
Reactions: Kijiweni

Lukman Ali

Mgeni
May 17, 2024
5
3
5
Watu wengi wanakosa uelewa baina ya ushauri na amri huyu mheshimiwa amesema "natamani kumshauri" sasa ushauri sio amri sasa tatizo hapa liko wapi?
 
  • Like
Reactions: Kijiweni

joackim

Mpiga Chabo
Jun 20, 2024
1
0
0
“Mafanikio ya Yanga na Klabu nyingine yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na hamasa ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia ambapo amekuwa akitoa shilingi milioni tano kwa kila goli linalofungwa katika hatua ya makundi na shilingi milioni kumi kuanzia hatua ya robo fainali. Hivyo, kwa namna ya pekee naomba nitoe pongezi kwa Mama yetu kwa ubunifu huo ambao umeliletea Taifa letu sifa na heshima 164 kubwa katika nyanja ya michezo”

“Rai yangu kuwa tuendelee kuhamasisha michezo mingine ili Nchi yetu iweze kushiriki katika mashindano mbalimbali ya kimataifa na hatimaye kurudi na tuzo au makombe, aidha napenda kutumia fursa hii kuipongeza Timu ya YANGA kwa kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya kandanda nchini kwa mara ya tatu mfululizo na Kombe la Shirikisho la Benki ya CRDB”

“Yanga ni Wafalme wa soka la Tanzania, natamani kumshauri Gavana wa Benki kuu kuweka nembo ya klabu ya Yanga
kwenye noti ya shilingi 100 kuyaenzi mafanikio haya”

Unatamani nembo ya timu gani ikae kwenye noti?
Nchi hii, ndio maana mbunge wa geita msukuma anadharau wasomi, kwa sababu zakuongea ujinga, timu ya taifa stars haijawekwa kwa shilingi, then uje uweke timu za udhamini wa watu, wasomi tujifikilie kabla yakutenda, na udhalendo hakuna apo.
 

KizzTz

Mpiga Chabo
Jun 20, 2024
2
0
0
Huyu mwigulu anatufanya sisi watanzania hatujasoma Ety Trilion91 Anaita bilion elfu91 🤪🙄🙄 Siasa ni mbaya wale tulio soma madale school tumepigwa za uso😁😁😁😁😁😁