Watu kila wakitaka kusema Barcelona ni ya kawaida, Wakikumbuka kwamba inaongoza ligi mbele ya Madrid kwa zaidi ya point 8 wanakaa kimya
Niliwaambia kwangu Mimi Pair ya Martinez na Varane ni imara zaidi ya duo zingine
Yule mtoto Ganacho anatia hasira mpaka Busquet akaamua Bora ampige kibao kata mdomoni maana alishadhalilishwa
Jana niliangalia match second half Man Unt wanacheza ball bhana acheni mchezo. Huyo Fredy Ndio balaa, Casemiro na Butcher ni Killer Players wa Kimyakimya wanaweza wakakuumiza na ukapewa kadi wewe.
Le Bruno ni mchezaji mwenye kutumia Akili nyingi, sub ya Weghorst kauingia Antony na akabadili game na akascore
Unajua Man utd shida yetu miaka yote hiyo ilkuwa ni kocha tu Gardiola aliwahi kusema apewe wachezaji hao hao utaona shughuli yake asa tumepata mtu sahihi
Man united walikuwa aggressive,sharp,hunger....sub ya Antony imetupa matokeo credits kwa ETH...Heading to the final on Sunday Finger crossed Rashford asiwe kaumia sana
Tusema ukweli, Man United wamepata kocha safari hii.
Wamesota sana kutafuta mbadala la Sir Alex Ferguson ila safari hii kuna matumaini ya kurejesha heshima waliyoipoteza kwa miaka 10.
Yaani sasa hivi changamoto iliyopo kuna baadhi ya wachezaji wanacheza below per average, wanatakiwa Ku pull up their socks kidogo, kila mchezaji kila mechi akicheza kwa kiwango tarajiwa tutakuwa eneo salama.

Niliwaambia kwangu Mimi Pair ya Martinez na Varane ni imara zaidi ya duo zingine
Yule mtoto Ganacho anatia hasira mpaka Busquet akaamua Bora ampige kibao kata mdomoni maana alishadhalilishwa
Jana niliangalia match second half Man Unt wanacheza ball bhana acheni mchezo. Huyo Fredy Ndio balaa, Casemiro na Butcher ni Killer Players wa Kimyakimya wanaweza wakakuumiza na ukapewa kadi wewe.
Le Bruno ni mchezaji mwenye kutumia Akili nyingi, sub ya Weghorst kauingia Antony na akabadili game na akascore
Unajua Man utd shida yetu miaka yote hiyo ilkuwa ni kocha tu Gardiola aliwahi kusema apewe wachezaji hao hao utaona shughuli yake asa tumepata mtu sahihi
Man united walikuwa aggressive,sharp,hunger....sub ya Antony imetupa matokeo credits kwa ETH...Heading to the final on Sunday Finger crossed Rashford asiwe kaumia sana
Tusema ukweli, Man United wamepata kocha safari hii.
Wamesota sana kutafuta mbadala la Sir Alex Ferguson ila safari hii kuna matumaini ya kurejesha heshima waliyoipoteza kwa miaka 10.
Yaani sasa hivi changamoto iliyopo kuna baadhi ya wachezaji wanacheza below per average, wanatakiwa Ku pull up their socks kidogo, kila mchezaji kila mechi akicheza kwa kiwango tarajiwa tutakuwa eneo salama.
