Ningekuwa Kwenye Benchi La Ufundi La Klabu Ya Simba SC Ningependekeza Kikosi Hiki

mkono

Mpiga Chabo
Aug 24, 2024
4
0
0
Simba SC ni timu ambayo imeshajijengea jina kubwa barani Afrika hivyo ukubwa huo unatakiwa kuonekana kwenye kila mashindano inayoshiriki.

Kuna wachezaji ambao hawastahili kuanza kwenye first eleven ya mwalimu, baadhi ya wachezaji hao ni;

Balua,Shomari Kapombe: ( amekuwa uchochoro wa adui kupita),

Ahoua: ( huyu mvp wa Ivory coast nahisi tulipigwa ni mvivu halafu ubunifu ni mdogo sana)

Mutale: ( huyo ni Saidoo aliyechangamka, papara nyingi halafu zero output).

Kwa kuwa matokeo ya uwanja wa mkapa marudiano ni kufa na kupona: kivyovyote vile simba itatakiwa ifunge magoli ili kusonga mbele hivyo nitashauri kuanza na double strikers (10. Ateba, 9. Mukwala)



Ateba atacheza kama 10 ili kuongeza nguvu ya viungo wengi katika mechi hiyo huku nyuma yake watakuwepo viungo wawili (6. Yusuphu Kagoma, 8. Deborah Fernandez)

Formation ya 4:4:1:1

Hapo mwarabu anapigiwa mchaka mchaka mwanzo wa mchezo hadi mwisho wa mchezo.


View attachment 1558
😂 😂 😂
 

Danielmakala

Mpiga Chabo
Sep 17, 2024
5
0
0
25
Singida
Simba SC ni timu ambayo imeshajijengea jina kubwa barani Afrika hivyo ukubwa huo unatakiwa kuonekana kwenye kila mashindano inayoshiriki.

Kuna wachezaji ambao hawastahili kuanza kwenye first eleven ya mwalimu, baadhi ya wachezaji hao ni;

Balua,Shomari Kapombe: ( amekuwa uchochoro wa adui kupita),

Ahoua: ( huyu mvp wa Ivory coast nahisi tulipigwa ni mvivu halafu ubunifu ni mdogo sana)

Mutale: ( huyo ni Saidoo aliyechangamka, papara nyingi halafu zero output).

Kwa kuwa matokeo ya uwanja wa mkapa marudiano ni kufa na kupona: kivyovyote vile simba itatakiwa ifunge magoli ili kusonga mbele hivyo nitashauri kuanza na double strikers (10. Ateba, 9. Mukwala)



Ateba atacheza kama 10 ili kuongeza nguvu ya viungo wengi katika mechi hiyo huku nyuma yake watakuwepo viungo wawili (6. Yusuphu Kagoma, 8. Deborah Fernandez)

Formation ya 4:4:1:1

Hapo mwarabu anapigiwa mchaka mchaka mwanzo wa mchezo hadi mwisho wa mchezo.


View attachment 1558
Tunawaombea mtoke kwenyd mashindano ili muache lomoni
 

Mbongographicx

Mpiga Chabo
Sep 19, 2024
1
0
0
S

Sikubaliani nae hata kidogo ahoua ni mchezaji mzuri Sanaaaaaaaaaaaaaaaaaa ispokuwa inategemeana na mechi SI Kila mechi utamuona kama unavyotaka kwa sababu yeye anafuata maelekez ya mwalim au umemsikia mwalim anasema ahoua hafati maelekez???? Ispokuwa nakuunga mkono kwenye double straika tu
Mi nakuunga mkono, mi sikuona shida yoyote kwa Ahoua na, Mutale kwa Sababu mchezo ulikuwa ni wa kimbinu zaidi ukiwa na lengo kuu la kutokuruhusu goal ugenini, na Fadlu ameliweza Hilo 100% lakini pia ulikuwa na lengo dogo la Kupata goal la ugenini ndiyo maana aliingizwa Ahoua Mutale ATEBA na Balua, lakini hiyo game haikuwa rahisi kwa Balua ndiyo maana hakufanya chochote kama Mutale ATEBA na Ahoua, Joshua Mutale alikuwa anakabwa na watu watatu wawili wanne Sasa kulingana na mfumo na maelekezo ya Mwalimu Fadlu wachezaji wengi walikuwa nyuma Sasa huwezi kurudisha mpira nyuma kulingana na ubora wa wachezaji wa tripoli kwa hiyo ilibidi a force mbele kwa mbele ndiyo maana mipira ilikuwa inapotea, isitoshe tutakuwa wachoyo wa shukrani kama tusipowapongeza kwa Sababu tripoli kulikuwa na figisu na vurugu nyingi kwa wachezaji na bench la ufundi pamoja na hayo yote hawakuruhu goal kulinda Heshima ya ubaya ubwela

Kitu Cha nyongeza ukiangalia shoots off target zimetokea kwa ATEBA, Ahoua na Mutale kwa walioangalia game Vizuri watakubaliana na Mimi

Pia wote tunafahamu ubora wa kikosi Cha tripoli na ndiyo usajili unaongoza kwa Sasa kuletwa ingizo jipya la Mabululu na wachezaji wengine waliotokea team kubwa Africa Sasa kwanini tusiwapongeze wachezaji wetu kwa kutokuruhusu goal ugenini na wameonesha ukweli kuwa Simba ni kubwa barani Africa

Ile game haikuwa nzuri kwa Mashaka, na Balua Hawa hawakucheza Vizuri hata kidogo japo mashaka alipoga off target moja kama sijasahau