Njia iliyobaki ya Simba kuchukua ubingwa wa NBC 2024-25 ni hii hapa

Hammy36

Administrator
Jan 17, 2023
59
56
25
Dar Es Salaam
Kufungwa na Yanga katika mechi ya jana tena katika mazingira ya kufungwa yalivyokuwa kunahitaji kuwape hasira wachezaji, benchi la ufundi na viongozi. Hilo ndiyo jambo la kwanza ambalo inabidi wahusika waondoke nalo.

Baada ya hapo yanabaki mambo matatu tu:
1. Kwanza kuhakikisha mnacheza kwa hasira na intensity ile ile ya jana kwa kila mchezo, kuhakikisha Simba haipotezi tena point hata moja, iwe isiwe.

2. Kuanza mipango na mikakati ya kumfunga Yanga katika mechi ya marudiano. Huyo ndiyo mshindani namba moja kwa ubingwa, Simba ikigawana point 3-3 na Yanga nafasi ya ubingwa bado ipo.

3. Kufunga magoli mengi inavyowezekana katika kila mechi iliyo mbele. Bingwa anaweza kupatikana kwa tofauti ya idadi ya magoli. Timu iongeze hamu ya magoli kwa dakika zote 90, iache kuridhika inapokuwa inaongoza.

Kuhusu Yanga kudondosha point, hilo wachezaji waliondoe kichwani. Chezeni mechi zenu jambo lililo ndani ya uwezo wenu, yaliyo nje ya uwezo wenu achaneni nayo.
 
  • Like
Reactions: Enck Jr
Sep 26, 2024
4
2
5
Kufungwa na Yanga katika mechi ya jana tena katika mazingira ya kufungwa yalivyokuwa kunahitaji kuwape hasira wachezaji, benchi la ufundi na viongozi. Hilo ndiyo jambo la kwanza ambalo inabidi wahusika waondoke nalo.

Baada ya hapo yanabaki mambo matatu tu:
1. Kwanza kuhakikisha mnacheza kwa hasira na intensity ile ile ya jana kwa kila mchezo, kuhakikisha Simba haipotezi tena point hata moja, iwe isiwe.

2. Kuanza mipango na mikakati ya kumfunga Yanga katika mechi ya marudiano. Huyo ndiyo mshindani namba moja kwa ubingwa, Simba ikigawana point 3-3 na Yanga nafasi ya ubingwa bado ipo.

3. Kufunga magoli mengi inavyowezekana katika kila mechi iliyo mbele. Bingwa anaweza kupatikana kwa tofauti ya idadi ya magoli. Timu iongeze hamu ya magoli kwa dakika zote 90, iache kuridhika inapokuwa inaongoza.

Kuhusu Yanga kudondosha point, hilo wachezaji waliondoe kichwani. Chezeni mechi zenu jambo lililo ndani ya uwezo wenu, yaliyo nje ya uwezo wenu achaneni nayo.
Kabisa
 
  • Like
Reactions: Enck Jr

deen sam

Mgeni
Oct 21, 2024
3
2
5
Shida inakujaga wanatumiaga energy kubwa sana wanapocheza na yanga hivyo mechi zinazofuataga huwaga ngumu kupata matokeo sio kwa simba wala hivyo vilabu vingine mara nyingi sana huwa hawapati matokeo mazuri baada yankucheza na yanga
Kwahiyo leo mmmh ngoja tuone itakavyokua