Pamoja na mapungufu na ukaidi aliounesha…Mchango wa Fei bado unahitajika Yanga!

Nabi

Mgeni
Nov 4, 2022
121
124
5
Pamoja na mapungufu na ukaidi aliounesha…Mchango wa Fei bado unahitajika Yanga..Zile kelele, laana, manung’uniko, lawama kwa viongozi et al ambazo ziliibuka baada ya uamuzi wa Fei ni kwa sababu tunamhitaji na ana mchango mkubwa kwetu Yanga.

Fei kachangia sisi kushinda Kombe la ASFC mwaka jana…

Kachangia kushinda Ubingwa wa Ligi na bado msimu huu ana assist 2 na magoli 6…..

Angekuwa ni Moloko au Yusuf Athuman amefanya kitendo alichofanya Fei sidhani kama kelele, manung’uniko, laana za mashabiki na malalamiko dhidi ya viongozi vingetokea.

Kama kijana kaamua kurejea nyumbani, tumpokee, tumsamehe then tuishi nae, maisha yaendelee…
 

McRay

Mgeni
Nov 4, 2022
185
131
5
Pamoja na mapungufu na ukaidi aliounesha…Mchango wa Fei bado unahitajika Yanga..Zile kelele, laana, manung’uniko, lawama kwa viongozi et al ambazo ziliibuka baada ya uamuzi wa Fei ni kwa sababu tunamhitaji na ana mchango mkubwa kwetu Yanga.

Fei kachangia sisi kushinda Kombe la ASFC mwaka jana…

Kachangia kushinda Ubingwa wa Ligi na bado msimu huu ana assist 2 na magoli 6…..

Angekuwa ni Moloko au Yusuf Athuman amefanya kitendo alichofanya Fei sidhani kama kelele, manung’uniko, laana za mashabiki na malalamiko dhidi ya viongozi vingetokea.

Kama kijana kaamua kurejea nyumbani, tumpokee, tumsamehe then tuishi nae, maisha yaendelee…
FEI NI MSALITI, BEST OPT KWA YANGA NI KUMFANYIA MOVE AENDE, NI RAHISI KURUBUNIKA KWA ALICHOTUONYESHA.

KICHAA AKIHAMA NA KUBADILISHA JALALA HAINA MAANA KAPONA KWASABABU TU HUMUONI ILA UKICHAA UPO PALE PALE ILA TU KAAMUA KUBADILI JALALA. FEI KUOMBA MSAMAHA HAIBADILISHI KUWA YEYE NI TRAITOR.

🚮🚮🚮 DOGO KACHEZA NA HISIA ZA WATU SANA, KAUWA CELL HAI NYINGI SANA ZA WANA YANGA!!!

ILA HATUWEZI MBISHIA NABI IKIWA ANAHITAJI HUDUMA YAKE.
 
  • Haha
Reactions: UnclRugaRafiki
Nov 26, 2022
28
55
5
FEI NI MSALITI, BEST OPT KWA YANGA NI KUMFANYIA MOVE AENDE, NI RAHISI KURUBUNIKA KWA ALICHOTUONYESHA.

KICHAA AKIHAMA NA KUBADILISHA JALALA HAINA MAANA KAPONA KWASABABU TU HUMUONI ILA UKICHAA UPO PALE PALE ILA TU KAAMUA KUBADILI JALALA. FEI KUOMBA MSAMAHA HAIBADILISHI KUWA YEYE NI TRAITOR.

🚮🚮🚮 DOGO KACHEZA NA HISIA ZA WATU SANA, KAUWA CELL HAI NYINGI SANA ZA WANA YANGA!!!

ILA HATUWEZI MBISHIA NABI IKIWA ANAHITAJI HUDUMA YAKE.
Hii ndo kitaaalaam tunaita sitaki nataka
 

sharon

Mgeni
Nov 4, 2022
105
89
5
Pamoja na mapungufu na ukaidi aliounesha…Mchango wa Fei bado unahitajika Yanga..Zile kelele, laana, manung’uniko, lawama kwa viongozi et al ambazo ziliibuka baada ya uamuzi wa Fei ni kwa sababu tunamhitaji na ana mchango mkubwa kwetu Yanga.

Fei kachangia sisi kushinda Kombe la ASFC mwaka jana…

Kachangia kushinda Ubingwa wa Ligi na bado msimu huu ana assist 2 na magoli 6…..

Angekuwa ni Moloko au Yusuf Athuman amefanya kitendo alichofanya Fei sidhani kama kelele, manung’uniko, laana za mashabiki na malalamiko dhidi ya viongozi vingetokea.

Kama kijana kaamua kurejea nyumbani, tumpokee, tumsamehe then tuishi nae, maisha yaendelee…
Huyu wangemwacha tu aendee