Rashford msimu huu kawa Mcharo.!

kidudumtujr

Mgeni
Dec 14, 2022
50
70
5
Tanzania
Nyota wa Manchester United, Marcus Rashford amefunga katika mechi 5 mfululizo kwenye uwanja wa Old Trafford na ana mabao mengi zaidi ya aliyokuwa nayo msimu wote uliopita.
Msimu uliopita alifunga Mabak matano pekee.
 

Attachments

  • 177A36B3-7F3D-435E-8E67-ACBCF895B5F2.jpeg
    177A36B3-7F3D-435E-8E67-ACBCF895B5F2.jpeg
    25.5 KB · Somwa: 1
  • Like
Reactions: UnclRugaRafiki
Nov 26, 2022
28
55
5
Nyota wa Manchester United, Marcus Rashford amefunga katika mechi 5 mfululizo kwenye uwanja wa Old Trafford na ana mabao mengi zaidi ya aliyokuwa nayo msimu wote uliopita.
Msimu uliopita alifunga Mabak matano pekee.
Shida walionayo hawa wachezaji wa kiingereza ipo kwenye damu "muendelezo mzuri" sema ni vizuri tukaishi na wakati ni wakati wake na anautumia vema!!